THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Na 2025 mnaichagua hii serikali ya CCM iliyojaa wagalitia kwa wingi kama wanavyoagiza mashehe?
Sasa kama rais kamteua mtu anashindwa kumuondoa akaweka muadilifu kama wewe?Sasa ukienda Huko ukaendekeza wizi na fedha za umma kukimbizia kanisani kutoa sadaka kila juma pili lawama unampa vip Raisi kafiri wewe?
Dini ya mashetaniDunia inapambana nauislam yaan waislam wasisome sana dini yao moja wapo yambinu waliyobuni ndiyo hiyo kuwa ukisoma quran unaferi darasan
Kwan nan kalazimisha?😅😅Ndoto za alinacha ni pale unapodhani kuna siku dunia yote itakua na waislamu tu
Matusi yapi? Ngoma lazima tuicheze ...Hamna kitu mtafanya.Mimi sina chuki ndo maan siporomoshi matusi kama wewe na wenzako
Unatumia nguvu sana jaribu kuangalia reply zako na za kwangu
Sasa kama rais kamteua mtu anashindwa kumuondoa akaweka muadilifu kama wewe?
Mbona amechagua waislamu wa kutosha tu kwenye uongozi wake? Nao tusiwalaumu?Kwa Jins mlivyojazana Sasa anamtoa nani amweke Nani??
Kama mnaambiana vile,mnashambulia kama mchwa,akitoka huyu anaekuja ndiyo balaa zaidi ya aliyetoka...mmeshindikanika nyinyi...
Unaongea pumba tupu. Miaka zaid ya 60 ya uhuru mnadanganyana ovyo huko misktn kwenu na maliwato badala ya kuwasisitiza watoto wasome elim Dunia awakwamue kimaisha nyie mnazd kuwasisitiza kusoma mielimu ya waarabu yenye ushetwan na uzezeta matokeo yake mfumo unawakataa.Muslim ndani nchi hii in particular wamekuwa wahanga wa mfumo KRISTO Kwa muda mrefu sana,baada ya bwana wao mkoloni kuondoka aliacha athari za ubaguzi wa kidini kiasi kwamba shule nyingi ambazo zilikua chini wa wakoloni ziliendelea kuwa chini ya vibaraka wao wagalatia na kuwapa waislam vikwazo vya elimu kwamba Ili wao wasome basi iliwapasa either wabadili dini,au wafuate utaratibu wa wagalatia ikiwamo kula nyama najisi ya nguruwe na kuabudu sanamu la Jesus Christ,waislam walio wengi waliopt kuachana na elimu ya manyanyaso kama hiyo na kujikita na elimu ya kumtambua mola wao na kuchukua fursa zingine za biashara na kilimo,baada ya uhuru na shule hizo kutaifishwa idadi ya waislam ilianza kuongezeka pole pole hadi kufikia hatua ya kuanza kushawishi jamii zaidi ya waislam waliogoma kupeleka watoto shule wazidi kupeleka watoto shule
Ushoga hata huko uarabun upo bila kusahau huko zenji maeneo ya mchambawima wete chake chake lakn mbona wana uchum mbovuHiyo western economy inaongozwa na mashoga jee wewe unataka Uwe shoga yaani Uwe na pesa huku unazibuliwa mtaro
Hamnazo kweli wewe wakristo wanarudisha vp taifa nyuma. Mbona Kanda ya pwani ndo inaongoza kwa watu duni kielim na ki uchumi huku wabunge na baadh ya mawazir watoka ukanda wao. Huko ndiko kumeshehen madanguro na ushoga anzia Tanga dar Kisha elekea kuleeeee kisiwa Cha gay kilichojaa 100% ya waja wa mud gay🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu makafiri ndiyo wanalilostisha sana Taifa hili believe me..
Nchi hii waislam wako mbele toka zama na zama,na hata kwenye harakati za mapambano ya uhuru umesema kweli kbs,hao Kina ALISONGEA MBANO,Mtwa mkwawa, Abushir bin Salim,na wengine wengi ni waislam, mwambie akutajie zee la kikafir hata Moja ambalo limeshiriki katika harakati wao wanamjua Nyerere tuh,teh teh teh
Kama upo mbona PAPA hajaenda kuwapa amri ya kuoana kama nyinyi huku?Ushoga hata huko uarabun upo bila kusahau huko zenji maeneo ya mchambawima wete chake chake lakn mbona wana uchum mbovu
Kanda ya pwani unazungumzia??Hamnazo kweli wewe wakristo wanarudisha vp taifa nyuma. Mbona Kanda ya pwani ndo inaongoza kwa watu duni kielim na ki uchumi huku wabunge na baadh ya mawazir watoka ukanda wao. Huko ndiko kumeshehen madanguro na ushoga anzia Tanga dar Kisha elekea kuleeeee kisiwa Cha gay kilichojaa 100% ya waja wa mud gay🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mudy mwnyw alinyonya ndimi ya mfuasi wake sasa hapo ushoga unakwepekaje pwani na visiwanKama upo mbona PAPA hajaenda kuwapa amri ya kuoana kama nyinyi huku?
Teh teh teh.Acheni kuwakaririsha watotowenu lugha za majin mwisho wa siku majini ndo yanawajibia mitihani sasa unategemea nini zaid ya division zero🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umepanik sana broo kasome Quran 73:50 ndo utajua umbumbu wa Allah wenuKanda ya pwani unazungumzia??
Dsm ni Kanda ya pwani,Mtwara,Tanga,huko ni Kanda ya pwani unataka kufananisha Hali ya umaskini na wapi??
Makafiri hovyo sana,hivi Kwa nchi hii unataka kusema wapi nafuu kuliko kwingine,kote kote umaskini tuh,na hiyo.sababu kubwa ni wizi na ufisadi wa makafiri wanaojiita wasomi waliojaa huko serikalini
Hiyo amri ya kuzibuana mitaro PAPA kawapa nyinyi Kwa misingi Gani??Mudy mwnyw alinyonya ndimi ya mfuasi wake sasa hapo ushoga unakwepekaje pwani na visiwan
Waislam kibao wanalambishwa salakaf na mwamposa.Teh teh teh.
Kwahiyo hayo majini ambayo mwamposa ana shida kila siku huko akiwalambisha sakafu kuwatoa nyinyi makafiri mmekaririshwa na sisi??
Makafiri hamnazo kweli kweli,na mna session kabisa ya ibada ya kutoana mapepo kila siku makanisani huko,mnayafuga mnayatoa wapi?
Kumbuka wazungu nao wanatuona waafrika wote ni mambumbumbu (nyani), yaani hatuna akiliWanabodi,
Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.
Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, japo mimi sio mzuri kivile kwenye takwimu, lakini mtu akileta mada na kuivisha data za kimaghumashi, nina uwezo wa kubaini!.
Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, ndani ya Bunge la JMT. Yeye alisema idadi ya wabunge Waislamu ni asilimia 6%, hii maana yake wabunge Wakristo ni asilimia 94%!, nilimbishia nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.
Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga
Baada ya kumpinga with data estimates only kwa kutumia sampling ya wabunge wa Zanzibar tuu ndani ya Bunge la JMT ambao wote ni Waislamu, idadi hiyo ni over and above hiyo 6%! ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.
Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said
Kwenye takwimu hizi
Mkuu Maalim Mohamed Said ametoa hoja ya msingi sana na ameuliza
1. ama Waislamu wajinga
2. ama akili yao haifanyi kazi,
3. ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu,
4. ama kuna kitu.
5. Kisha akamuomba Waziri anayehusika, ajitokeze na aseme kwa hali ilivyo kama Waislamu wameumbwa wajinga.''
6. Mwisho ndipo kwenye hoja za bandiko hili, Maalim Mohamed Said amesema "huwa tunazungumza na wengi ndani ya serikali ambao wanajua kuwa hili ni tatizo ambalo ni muhali mkubwa kwa serikali kukiri kuwa ndani ya serikali kumekuwa na dhulma hizi"
Conclusion yake ni kuwa matokeo hayo kwa Waislamu ni wanafanyiwa dhulma, serikali wanajua kuhusu dhulma hiyo ila ni muhali kwa serikali kukiri kuhusu Waislamu kufanyiwa dhulma, hapa kwenye dhulma mimi ndipo nataka tuanze napo!.
Hatua ya kwanza ni authentication ya hizi data, kanuni ya kutoa data zozote ni lazima utaje source!, nauliza jee hizi data ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?.
Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje?, naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia majina!.
Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.
Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitafutia ufumbuzi wa kudumu kulitatua tatizo hilo!. Watanzania ni watu wamoja, haiwezekani tujione wamoja kumbe kuna wenzetu wanafanyiwa dhulma kubwa ya kihivi!.
Niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.
Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling
Nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
Na nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?
Nashauri tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo
1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara
3. Idadi ya matajiri
4. Ufaulu wa darasa la saba
5. Ufaulu wa kidato cha 4
6. Udahili elimu ya juu
7. Asilimia kwenye astashahada
8. Stashahada
9. Shahada
10. Shahada za uzamili
11. Shahada za uzamivu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu.
13. Idadi ya jobless
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu
15. Idadi ya wife materials na husbands material
16. Idadi ya kuoa na kuolewa
17. Utulivu kwenye ndoa
18. Broken homes
19. Single mothers
20. Wanaume wanaotekeza watoto.
Matokeo ya tafiti hizi, japo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!.
Paskali