Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Umepanik sana broo kasome Quran 73:50 ndo utajua umbumbu wa Allah wenu
Mwamposa daliy anawalambisha sakafu kuwatoa mashetani mnayatoa wapi??na zile lugha anazozisema zisizoelewela zile ni lugha Gani zile?mmeshawahi kumuuliza Huwa anaongea kitu Gani pale??

Teh teh teh, makafiri mnapigwa sana
 
Mi mwnyw nawashangaa makristu na maislam mnazinyenyekea dini za weupe badala ya kubak kwenye din zenu za asili mwisho mnaishia kuwa mashoga
Unamshangaa nani,jishangae wewe.mwenyewe...

Mimi dini yangu haiwezi kunipa amri ya kuwa.choko,au kunipa amri ya kuabudu kiumbe chochote nisichokijua,pambana na Hali yako...na Bado mtanyooka tuh hadi akili ziwakae sawa
 
Nyinyi mnaoongoza kwenye ufaulu mmefanya jambo gani la maana ikiwa hata kijiko tunaagiza china?

ni mtu mpumbavu pekee anayeweza kujisifu Kwa aina hii ya elimu ambayo asilimia kubwa ni useless theories tu
 
Ni kweli kabisa nasadiki kwani Yale maandishi yanatumiwa na majini kuwasiliana kwa mujibu wa Quran 43:38
Na hayo.majini ambayo mwamposa anawatoa huko kanisani ameyatoa wapi??

Maana kila siku mna ibada rasmi ya kutolewa mapepo,mnayatoa kwenye qur an pia makafiri?
 
Mna chuki sana na uislamu na hamjui mnataka nini Kwa waislamu


Nyinyi ndio mnalalamika mara UDOM Kuna udini (uislamu) sana


Mara Bakhresa mbaguzi anaajiri waislamu tu (mbaguzi)

Kwenye system za serikali wakichaguliwa waislamu mnapiga kelele


Mara waislamu hawafaulu

Sasa hao wachache waliokuwepo kwenye hizo system hamutaki kuwaona, unataka wafaulu wengi ili muje kulalamika tena waislamu wanapendelewa?? Wanaajiriwa sana??
 
Nyinyi mnaoongoza kwenye ufaulu mmefanya jambo gani la maana ikiwa hata kijiko tunaagiza china?

ni mtu mpumbavu pekee anayeweza kujisifu Kwa aina hii ya elimu ambayo asilimia kubwa ni useless theories tu
Elimu ambayo wenzetu wanajisifu nayo ni kuiba, mwisho wa siku mshahara uingie wakanywe Pombe na kitimoto,kuhonga nyingine wanaenda kutoa sadaka makanisani kuungama dhambi Zao, hovyo kabisa hawa
 



Alisikika waziri mmoja huko india akisema!!

Hawa watu serikali yote wameshika wao, ajira zote wao siasa wao utajiri wa nchi ni wao lakini bado wanalalamika.

Leo hii mtu analalamika hadi kwene elimu na ilihali kule watu wanaandika no cyo majina.

Uislam ni janga la dunia
 
Na hayo.majini ambayo mwamposa anawatoa huko kanisani ameyatoa wapi??

Maana kila siku mna ibada rasmi ya kutolewa mapepo,mnayatoa kwenye qur an pia makafiri?
Bob mi sio wa Kansan Wala wa mskitin mi ni wa matambiko na mizim so nawashangaa nyie mojitu mius tiii mnalialia na dini za wazungu na waarabu ndo mana mnaletewa ushoga na huyo papa na Muhammad wenu. Rudin kwenye asili yenu africa
 
Umetembea nauhakika..
 
Ndugu huoni kama kuabudu sanamu la yule muigizaji na kumvaa shingoni ni tatizo (ujuha ) usio na kifani?


Huoni kwamba wewe kubarikiwa kufukuriwa tope ndio tatizo zaidi??
 

Makafiri wanashangaza sana..

Hodari sana kukashifu waislam,mara waislam hatuna shule,sawa tumekubali...wao wenye shule Taifa wamelisaidia Nini??

Hao hao.ambao wanasema hawana shule,wakienda shule wakaonekana wakateuliwa oooh udini udiniii...

Sasa huyo bakhresa wanaposema anapendelea waislam kaajir makafiri kibao tuh,na hata akiamua kuajir waislam au hata WASIO na dini ile ni bishara yake unawezaje mpangia??

Makafiri chuki ni asili Yao mbuzi Hawa
 


P,

Tatizo ni fursa na mazingira ya kusoma.

Mwaka jana nilifanikiwa kwenda kutembelea shule yangu ya O-level Ilboru Arusha. Nilienda jumamosi wanafunzi wakaniambia kuanzia saa 9. Mchana mpaka saa 12 jioni ni lazima waende prep kusoma kwa masaa matatu narudia ni lazima. Sasa nikarudi Dar nikaenda kumsalimia ndugu yangu wiki mmoja baada ya hapo nikamkuta binti yake anapika na kufanya usafi nyimbani badala ya kusoma. Nilagundua watoto wa Ilboru pamoja na vipaji wanatumia masaa mengi kusoma kuliko wenzao. Kuna mabweni, maji ya chem chem , chakula n.k hakuna cha kupanda mabasi …. Kila wiki kuanzia saa mmoja mpaka saa tatu usiku ni lazima waende kusoma. Lakini wakishidwa naswali kuna makundi ya kusoma tofauti na nyumbani. Hakuna mambo mengi ya kuchanganya watoto. Hii ndiyo advantage kubwa. Hasa watoto wa kike nyumbani sio sehemu nzuri ya shule kuna utamaduni wa kuwafanyisha kazi watoto wa kike. Sasa utamaduni kama wa Zanzibar na utamaduni dume ni mbaya sana kwa wasichana hasa kwenye masomo wangeweka boarding school na watoto wa kike wasijione kama elimu sio muhimu
 
Unaongea upuuzi sana


Elimu gani ya kukukwamua na maisha?

Elimu hii ambayo Kila siku watu wanalia ajira??
 
Shida kubwa ni chuki


Waislamu wakifanikiwa wataongea wakikwama wataongea


Ndio maana hata sakata la DP world waliongea sana Hali ya kuwa Kuna mikataba mingi mibovu wamekaa kimya ikiwemo mikataba wao wa kinyonyaji wa mahospitali
 
Paskali tunataka ulete mada nyingi kama hizi ili tupate platforms ya kuwaanika makafiri wenzako na kuwaacha uchi kabisa,tunakusihi kila siku lete mada kama hizi na usiache kukutagi kabisa... makafiri mna mengi ya hovyo ndani ya nchi hii ambayo mnastahili kuambiwa
 
Kwahiyo watu wasisomee udaktari wakasomee kupiga dufu na kugeuzana mashoga sio.....ama unawazim ww

Kugeuzwa mashoga PAPA Ruksa kaitoa kwenu mbona unashindwa kuitumia hiyo fursa unasukumia kwetu aiseee??

Tafuta kafiri mwenzako wa kuruka nae,teh teh teh...
 
Kwahiyo watu wasisomee udaktari wakasomee kupiga dufu na kugeuzana mashoga sio.....ama unawazim ww
Tatizo la kudandia basi Kwa mbele


Kwa mujibu wa uislamu, ikitokea watu wote katika mji hakuna mtaalamu wa jambo fulani muhimu basi watu wanapata dhambi Kwa kutosomea jambo hilo muhimu

Google maana ya faradhi kifaya
 
Shida kubwa ni chuki


Waislamu wakifanikiwa wataongea wakikwama wataongea


Ndio maana hata sakata la DP world waliongea sana Hali ya kuwa Kuna mikataba mingi mibovu wamekaa kimya ikiwemo mikataba wao wa kinyonyaji wa mahospitali

Makafiri hamnazo sana nchi hii walidhani wataendelea kuinyonya sijui hadi lini...

Wanadhani watu hatujui uozo wao na ufisadi Tena wenye baraka hata na kanisa ndani ya Taifa hili...

Hizo MOU walizokaingia Kwa Siri na serikali walidhani ni vitu ambavyo vitakuwa Siri miaka yoote,huduma za AFYA fedha nyingi zinatoka serikalini na hata hivyo watu wanalipia hizo huduma,ila always kujiproud kwamba wao ndiyo wao utadhani wanafanya Kwa nguvu za kanisa vile pumbavu hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…