Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?


ethnographic mtupu!

Mkuu Pascal Mayalla umechokoza hoja kibabe sana. Watu wakielewa hizi hoja na kuzifanyia kazi, Tanzania itabadilika.
 
Of course ikiwa umevamiwa na watu 60 milioni uchumi utakuwa wapi ?? uliza kabla uvamizi uchumi ulikuwa vipi , Soma historia usikimbie shule

Kumbe Nabii Tito ni mtu wa Zenj ??
huyo unayemuita nabii tito unaona ana akili timamu? Kama ana akili timamu basi anajifanya mwendawazimu kwa shughuli maalum
 
huyo unayemuita nabii tito unaona ana akili timamu? Kama ana akili timamu basi anajifanya mwendawazimu kwa shughuli maalum
🙂🙂🙂 Kila mtu na uhuru wake kama wewe humuoni ni Nabii wengine humuita hivyo kama vile wengine wanavyomuona yesu ni Mungu na kumbe hakuna biblia yoyote aliyojitangazia uungu na watu humuita hivyo
 
Kuna kauli anatoa za utata sana
"Mara hamna kitu utafanya"
yaani amekaa kishari shari sana ni mtu ambaye ni wa vurugu vurugu sana
huyu jamaa ndio wale wanaovalishwa mabomu wakajilipue waue wasioamini dini yao ili waende peponi na mungu wao afurahie kifo walichojiua wawe shahidi kupigania imani yao. Tumsaidie apone, ni mwendawazimu anayehitaji huduma ya ukombozi wa fikra zake
 
Ikianza kuandika kulia kwenda kushoto akili iliwa changa ikazoea sio lahis kumuudu uandikaji kutoka kushoto kwenda kulia. Unaweza ona tofauti kwa kuangalia walioanzia Dini ile utotoni na walojiunga au kusilimishwa ukubwani kuna tofauti kubwa kimisimamo, uekelewa, ubishi, na mtazamo wa mambo kiujumla.
 
Mimi kuna rafiki/ jirani yangu analea wajukuu kadhaa....halafu mkazo ni kwenda madras...hii " ilimu" nyingine( anavyotamka yeye).....haina umuhimu shekhee.
 
Vitu vingine Wala sio vya kuumiza kichwa kujadili vingine ni asili ya vilipoanzia.
Ndo kusema wakristo nao walalamike kwamba mbona wafanyabiashara wengi ni waislamu ndio wanaomiliki viwandq,mabus,malori,daladala,maduka,nyumba za kupanga,masoko.
Muislamu haihitaji kukaa darasani ili Aishi wao Wana mifumo Yao ya maisha,mfumo elimu msingi to chuo huu ni mfumo wa kimagharibu au wa Kikristo.hakuna cha hujuma yeyeto Wala nini
 
Nina mfano hai:
Baba mzazi katika familia yao walizaliwa wawili tu.
Baba ni mtoto wa mwisho na ni Mkristo.

Kaka yake ni mwislam na alioa wanawake wawili na kuzaa watoto 14.

Katika hao watoto 14, kwa mke mkubwa alifaulu mtoto mmoja kwenda sekondari.

Na mke mdogo walifaulu watoto wawili.

Kwa baba yangu:
Tulifaulu watoto 5 kati ya 7.

Dada yetu mkubwa hakufanya mtihani kwa vile aliugua akiwa darasa la 7.
Ambaye alifanya mtihani na hakufaulu ni mmoja tu.

Note: familia yangu ni Wakristo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…