Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Vitu vingine Wala sio vya kuumiza kichwa kujadili vingine ni asili ya vilipoanzia.
Ndo kusema wakristo nao walalamike kwamba mbona wafanyabiashara wengi ni waislamu ndio wanaomiliki viwandq,mabus,malori,daladala,maduka,nyumba za kupanga,masoko.
Muislamu haihitaji kukaa darasani ili Aishi wao Wana mifumo Yao ya maisha,mfumo elimu msingi to chuo huu ni mfumo wa kimagharibu au wa Kikristo.hakuna cha hujuma yeyeto Wala nini
Kwa hiyo akina Yakhe wakiingia darasani hazipandi?
 
♦️Elimu ni kusoma na kuelewa na sio kukariri

♦️Kama uliwahi kusoma na wale wa kukariri huishia kuangukia pua

♦️ Kuna baadhi ya dini huandaa watoto wakiwa wadogo kwa elimu ya mfumo wa kukariri (wao huita kuhifadhi ila ni kukariri kwa Kuimba na viboko)


🔹Mtihani unapokuja kwa kuchengwa kidogo tuu, mtoto anashindwa kuelewa swali na kujibu off point
Umechanganya mada
 
Mkuu Pascal

Kindergarten & Montessori au niseme elimu ya awali ..

Najifunza Geography, Arithmetics (Mathematics),A little philosophy (Religion) . Literature/Poetry kidogo (Arts)

Mohamed anakwenda Chuo ..
See
Anajifunza Kiarabu alphabets ..

Alif , Be ....
Toka ameanza kuweza kutembea vizuri miaka mi3,4 Mpaka 7 Kweli kweli utamlinganisha na Mimi?
Kuna jamaa mmoja humu JF nilimpa point hii kuhusu kufeli kwa wototo wa kiislamu akabisha kinoma nikaamua kuachana nae. Huu ndo ukweli.
 
IQ Kwa Tanzania inategemeana na Utamaduni,historia,mazingira na mfumo wa ufuàtiliaji na ufundishaji wa kawaida katika Masomo/mitaala mashuleni.
Binafsi kila mtu anayo IQ yake kulingana na kalama/kipaji chake.
Suala la kujiuliza ni namna gani tunapima IQ.
 
Wakristo wasomi kwenye Ishu ya uchumi waislamu wanakimbiza so kila mmoja ana IQ kwenye eneo lake


Kweli ishu za uchumi za wakristo ndiyo hizi

Mchungaji akamatwa na vipande 18 vya meno ya Tembo.

Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu 22 kwa matukio tofauti ambapo watatu kati yao akiwemo mchungaji wa Kanisa la Aglikana Shekandi Ashery Mkombola (44) wanatuhumiwa kukutwa na nyara za Serikali vipande 18 vya meno ya Tembo.


na huyu mwengine

Jeshi la Polisi Mkoani Katavi linawashikilia watu wawili akiwemo Mchungaji wa Kanisa la Monrovian mkoani humo baada ya kukutwa na vipande kumi na moja vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 20.3.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Damas Nyanda, amesema vipande hivyo vimekutwa ndani ya mfuko wa sandarusi na kuwekwa ndani ya kanisa hilo ambapo polisi walipata taarifa ya uwepo waa nyara hizo za serikali.
 
naam sasa mmeanza kuelewa kwamba falsafa ya dini ndiyo inayoleta maendeleo na utu wa binadamu, mfumo unaotawala Dunia leo hii ni western christianity hivyo yoyote ambaye hafwati christianity ( western) way of life hawezi kuendelea.

na ndio maana nchi zinafwata uislamu afrika ni shida tupu kuanzia somalia, chad, maurtania na kwingineko pakistani, irani au hata yemeni.
HAPANA. UKRISTO HAUTAWALI ULAYA.

Jamii yoyote ile huongozwa na falsafa.

Ulaya kwa miaka mingi imekuwa na vita za kidini hadi miaka ya 1600 wakati wa Makubaliano ya Amani ya Westphalia. Enzi ambazo ukristo umetawala Ulaya, MAUJI YALISHAMIRI Mf Kanisa liliua sana wasio wakristo(wapinga kanisa), wayahudi waliua ulaya yote sababu ya Ukristo, HAKI ZA BINADAMU ZILIKUWA CHINI SANA, UBAGUZI WA KIJAMII, WANASAYANSI WALIOPINGANA NA UKRISTO WALIUA, MAGONJWA YALISHAMIRI ULAYA KWA SABABU YA 'UJINGA ULIOLELEWA NA DINI' Mfano Black Plague Kanisa lililazimisha watu wajifungie makanisani kusali na kusingizia Wayahudi eti ni wachawi ndio walioleta ugonjwa huo n.k n.k!

Ni hadi kufikia Miaka ya 1600 ndipo Ulaya ikaanza kubadilika:

• Hadi leo bado Warumi 13:1-4 inasema Mamlaka hutoka kwa Mungu na Tiini Mamlaka—waliachana na Tawala zinazodaiwa kuwekewa na Mungu (Divine Right to rule) mf za kina king Louis XVI wa ufaransa; na kuanza kuhoji tawala zao, kuziwajibisha, kinyume kabisa na Ukristo unavyosema, Wazungu wakasema Mamlaka hayatoki kwa Mungu bali wananchi. Ndio imewapa Uwajibikaji wa Viongozi, Kupambana na Rushwa hivyo DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA kwa Ujumla.

Hadi leo bado 1 Timotheo 2:12 haijabadika na Ukristo unakataza wanawake kuongoza, kupewa mamlaka au kuwa sawa mbele ya wanaume, lakini Wazungu wanasimamia usawa na kijinsia na Haki za wanawake na Kina Margaret thatcher, Theresa May, Merkel wamekuwa watawala ingawa Ukristo hauruhusu.

•Biblia bado iko vile kwenye Walawi 20:13 hivyo ukristo hadi leo hii Mashoga, Wasagaji wanapaswa kuuawa, lakini Wazungu wamewapa haki jamii hii na hadi leo wanaona, viongozi mashoga wapo, Luxembourg Mke wa Waziri Mkuu miaka ya 2016 alikuwa ni Shoga.

So, Ulaya imendelea sana pale raia 'walipomnyanganya Mungu wa Kikristo' madaraka ya kuongoza na kuyaweka Mikononi mwao wananchi wenyewe. Falsafa za Kina Immanuel Kant za kutumia Fikra, Sayansi na Utu— HUMANISM [Enlightenment era], ndio ziliwafanya waanze kuhoji watawala badala ya kutii DEMOCRACY, waanze kutaka usawa wa kijamii badala ya kupangiwa matabaka HUMAN, POLITICAL & CIVIL RIGHTS, waanze kuchunguza nini kinatokea kwenye miili ya binadamu badala ya kukubaliana maandiko na imani juu ya magonjwa DEVELOPMENT OF MEDICINE.

Ukristo ulaya imepitia zama za Mwangaza, lakini Uarabuni falsafa hizo hazikufika. Ndio maana hadi leo bado nchi hizo zinatawaliwa na kuwa katika hali ya 'giza'. Jamii yoyote inayoongozwa na Dini [Revealed knowledge] kamwe haiwezi pata maendeleo.
 
Back
Top Bottom