Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Hivi hii chuki uliyokua nayo unarafiki mkristo kweli
Mbona una-chuki kali sana na wakristo yaana unataman tanzania iwe nchi ya kiislamu ila ndo hivyo haiwezekani
Nitaonyesha chuki kama wajinga wenzio...Dawa ya moto ni moto..

Dogo usileta ujuaji fuatilia kama nina uzi wa kusema dini ya mtu,mkianza namaliza.
 
Unapata hasira kwa maamuzi ya mtu mwingine
Ungezaliwa uarabuni ungekua sahivi umejiunga na vikundi vya kigaid
Mbona unachuki kali hivyo
 
Nitaonyesha chuki kama wajinga wenzio...Dawa ya moto ni moto..

Dogo usileta ujuaji fuatilia kama nina uzi wa kusema dini ya mtu,mkianza namaliza.
Ungezaliwa uarabun ungekua ni member wa kikundi cha magaidi au ungeazisha kikundi cha kigaidi

Maswala ya moto yanatoka wapi kwenye mijadala Kama hii
 
Socialism na capitalism zote zimeanzia ulaya unataka useme nini
Kajifunze maana ya magharibi na mashariki katika siasa za ulimwenguni ina maana gani ?

Halafu acha kuwa mpumbavu kudhani kila mtu humu aliye kinyume na mawazo yako ya kipuuzi ni muislam foolish nimemaliza sioni haja ya kuendelea kumuelekeza chizi
 
Kwa aina hii ya mitazamo na mijadala, tunachokitafuta tutakipata, na hatutokuwa na wa kumlaumu. Wahenga waliosema mvunja nchi ni mwananchi waliona mbali sana. Kuna vizazi vitakuja kuteseka sana na huu upuuzi tunaopambana kuuanzisha sasa.
Naona vita ipo siku nafikiria watu watakuja kugundua amani ni bora, kutofuatilia dini ya mtu wala kabila
 

Attachments

  • 20240128_205535.jpg
    290.1 KB · Views: 2
Kwa hiki ulichoandika hapa kinathibitisha Uzi wa Mayalla kuwa mna shida ya IQ. Eti Rais Sio mtendaji wa Tanesco!? We jamaa dini imekupotosha umekuwa mpumbavu kabisa
Kwahiyo makafiri mnapoiba fedha za umma mfano hapo Tanesco mnapofanya hujuma za kila aina,lawama unaweza vip mpa Rais wa nchi, yeye kawatuma muibe?

Kujiita wasomi kila siku,hakuna mnalojua zaidi ya wizi na ufisadi Kisha lawama mnataka kumpa Rais wa Nchi?
 

Hoja iliyopo hapa hata na ambayo makafiri wenzako wanasema ni kwamba wenye akili nchi hii ni nyinyi,na wenye shule ndani ya Taifa hili ni nyinyi makafiri.

Obviously hata serikalini mliojaa ni nyinyi,mfano hapo Tanesco zaidi ya asilimia 90 watumishi hapo ni makafiri,hakuna la maana wanaofanya zaidi ya wizi na ufisadi,Sasa Hilo unakataa Kwa Nini??
 
Na 2025 mnaichagua hii serikali ya CCM iliyojaa wagalitia kwa wingi kama wanavyoagiza mashehe?
 
Kuna mwanasaikolojia mmoja aliwahi kusema kuwa Mtoto akianza kusoma yale maandishi yanayoanzia kulia kwenda kushoto anapungukiwa na Akili ingawa sina uhakika Sana
Ni kweli kabisa nasadiki kwani Yale maandishi yanatumiwa na majini kuwasiliana kwa mujibu wa Quran 43:38
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…