Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Shida kubwa ni chuki


Waislamu wakifanikiwa wataongea wakikwama wataongea


Ndio maana hata sakata la DP world waliongea sana Hali ya kuwa Kuna mikataba mingi mibovu wamekaa kimya ikiwemo mikataba wao wa kinyonyaji wa mahospitali

Makafiri hamnazo sana nchi hii walidhani wataendelea kuinyonya sijui hadi lini...

Wanadhani watu hatujui uozo wao na ufisadi Tena wenye baraka hata na kanisa ndani ya Taifa hili...

Hizo MOU walizokaingia Kwa Siri na serikali walidhani ni vitu ambavyo vitakuwa Siri miaka yoote,huduma za AFYA fedha nyingi zinatoka serikalini na hata hivyo watu wanalipia hizo huduma,ila always kujiproud kwamba wao ndiyo wao utadhani wanafanya Kwa nguvu za kanisa vile pumbavu hawa
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.

Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, japo mimi sio mzuri kivile kwenye takwimu, lakini mtu akileta mada na kuivisha data za kimaghumashi, nina uwezo wa kubaini!.

Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, ndani ya Bunge la JMT. Yeye alisema idadi ya wabunge Waislamu ni asilimia 6%, hii maana yake wabunge Wakristo ni asilimia 94%!, nilimbishia nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.

Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Baada ya kumpinga with data estimates only kwa kutumia sampling ya wabunge wa Zanzibar tuu ndani ya Bunge la JMT ambao wote ni Waislamu, idadi hiyo ni over and above hiyo 6%! ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.

Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said
Kwenye takwimu hizi

Mkuu Maalim Mohamed Said ametoa hoja ya msingi sana na ameuliza
1. ama Waislamu wajinga
2. ama akili yao haifanyi kazi,
3. ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu,
4. ama kuna kitu.
5. Kisha akamuomba Waziri anayehusika, ajitokeze na aseme kwa hali ilivyo kama Waislamu wameumbwa wajinga.''
6. Mwisho ndipo kwenye hoja za bandiko hili, Maalim Mohamed Said amesema "huwa tunazungumza na wengi ndani ya serikali ambao wanajua kuwa hili ni tatizo ambalo ni muhali mkubwa kwa serikali kukiri kuwa ndani ya serikali kumekuwa na dhulma hizi"
Conclusion yake ni kuwa matokeo hayo kwa Waislamu ni wanafanyiwa dhulma, serikali wanajua kuhusu dhulma hiyo ila ni muhali kwa serikali kukiri kuhusu Waislamu kufanyiwa dhulma, hapa kwenye dhulma mimi ndipo nataka tuanze napo!.

Hatua ya kwanza ni authentication ya hizi data, kanuni ya kutoa data zozote ni lazima utaje source!, nauliza jee hizi data ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?.

Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje?, naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia majina!.

Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.

Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitafutia ufumbuzi wa kudumu kulitatua tatizo hilo!. Watanzania ni watu wamoja, haiwezekani tujione wamoja kumbe kuna wenzetu wanafanyiwa dhulma kubwa ya kihivi!.

Niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Na nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

Nashauri tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo

1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara
3. Idadi ya matajiri
4. Ufaulu wa darasa la saba
5. Ufaulu wa kidato cha 4
6. Udahili elimu ya juu
7. Asilimia kwenye astashahada
8. Stashahada
9. Shahada
10. Shahada za uzamili
11. Shahada za uzamivu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu.
13. Idadi ya jobless
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu
15. Idadi ya wife materials na husbands material
16. Idadi ya kuoa na kuolewa
17. Utulivu kwenye ndoa
18. Broken homes
19. Single mothers
20. Wanaume wanaotekeza watoto.

Matokeo ya tafiti hizi, japo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!.

Paskali
Kiujumla waafrica tulikosea sana kufuata mifumo ya watu weupe si wazungu Wala waarabu mifumo Yao ni yakuwa feva wao na midini Yao sishangai Leo kuona ugaidi ushoga na ufisadi ukiongezeka katika nchi za kiafrica mfano huyo papa anataka watu wawe mashoga na hao magaidi wa kiislam wanataka Dunia nzima iwe waislam Yan mambo ni ovyo ovyo tu. Wenzetu china wamefika hapo baada yakuishi mifumo Yao na tamaduni zao kwanzia lugha adi dini.
 
Kugeuzwa mashoga PAPA Ruksa kaitoa kwenu mbona unashindwa kuitumia hiyo fursa unasukumia kwetu aiseee??

Tafuta kafiri mwenzako wa kuruka nae,teh teh teh...
Mi sio mfuasi wa ukristu mi mfuasi wa dini za asili huku hakuna ushoga kama huko kwenu kwa papa na Muhammad. Rudini kwenye dini zenu za asili wacha kurukaruka
 
Anzeni kuziambia serikali zenu zisiombe fedha kutoka Kwa mashoga.
Sasa nyinyi wenye akili mnaofaulu mpo wapi mpaka nchi inaombaomba?

Ndio upumbavu wenyewe huu, unajisifu kwa ufaulu na elimu huku nchi Yako haijiwezi Kwa kila kitu



Ipi thamani ya hiyo elimu kama sio mzigo?
 
Mi sio mfuasi wa ukristu mi mfuasi wa dini za asili huku hakuna ushoga kama huko kwenu kwa papa na Muhammad. Rudini kwenye dini zenu za asili wacha kurukaruka

Na Bado tunataka twende na nyinyi makafiri bampa to bampa hadi mzikatae Imani zenu kama hivi,hadi akili ziwakae sawa makafiri
 
Nilikuwa na marafiki zangu wawili Wasaudia, walikuwa wanalaani sana baadhi ya mambo ya uislam. Watoto wao wote waliwapeleka kusoma Canada wakidai kuwa wakiwapeleka nchi za kiarabu watafundishwa ujinga.

Wakati wa joto kali, walikuwa wanaenda kujivinjari US au Canada, wakidai huko ndiko unaweza mtu kufurahia maisha siyo nchi za Kiarabu.

Kama ni msafiri mzuri, ukipanda Emirates, wale mabinti, tena wale wa kiarabu, ni completely European kuanzia fikra zao mpaka mavazi yao. Ila wakiwa wanatoka pale Dubai, utawaonea huruma wanavyolazimika kwenda kubadilisha mavazi ili angalao wafanane na mabinti wa kiarabu, wenzao.

Hali hiyo imeanza hata hapo Zanzibar kwenye yale mahoteli ya wazungu. Mabinti wa kizanzibari wanapotoka nyumbani unakuta wamejivika mababui na mitandio, wakifika maeneo ya hotel, wanachojoa hayo manguo yote, na wengine wanapiga mini ambazo hata huku bara ni nadra kuziona.
Hata makka wako makafiri wenzako .


Hivyo huyo ni kafiri mwenzako tu
 
Sasa nyinyi wenye akili mnaofaulu mpo wapi mpaka nchi inaombaomba?

Ndio upumbavu wenyewe huu, unajisifu kwa ufaulu na elimu huku nchi Yako haijiwezi Kwa kila kitu



Ipi thamani ya hiyo elimu kama sio mzigo?
Hakuna kitu hawa makafiri...Mimi nakueleza nchi hii ipo kwenye matatizo makubwa kutokana na mindset za hawa wanaojiita wasomi wa Kanisa,akili zao ndiyo kama hizo kuomba omba misaada tuh,hawana wanachojua zaidi ya kwenda ofisini kuiba, mwisho wa mwezi wapokee.mshahara wakanywe Pombe na kitimoto kuhonga malaya na kwenda kutoa sadaka makanisani kuungama dhambi Zao, hovyo kabisa hawa jamaa.
 
Sasa Tanzania na IQ wapi na wapi jamani si tunataka kuchekeshana hapa..!
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.

Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, japo mimi sio mzuri kivile kwenye takwimu, lakini mtu akileta mada na kuivisha data za kimaghumashi, nina uwezo wa kubaini!.

Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, ndani ya Bunge la JMT. Yeye alisema idadi ya wabunge Waislamu ni asilimia 6%, hii maana yake wabunge Wakristo ni asilimia 94%!, nilimbishia nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.

Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Baada ya kumpinga with data estimates only kwa kutumia sampling ya wabunge wa Zanzibar tuu ndani ya Bunge la JMT ambao wote ni Waislamu, idadi hiyo ni over and above hiyo 6%! ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.

Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said
Kwenye takwimu hizi

Mkuu Maalim Mohamed Said ametoa hoja ya msingi sana na ameuliza
1. ama Waislamu wajinga
2. ama akili yao haifanyi kazi,
3. ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu,
4. ama kuna kitu.
5. Kisha akamuomba Waziri anayehusika, ajitokeze na aseme kwa hali ilivyo kama Waislamu wameumbwa wajinga.''
6. Mwisho ndipo kwenye hoja za bandiko hili, Maalim Mohamed Said amesema "huwa tunazungumza na wengi ndani ya serikali ambao wanajua kuwa hili ni tatizo ambalo ni muhali mkubwa kwa serikali kukiri kuwa ndani ya serikali kumekuwa na dhulma hizi"
Conclusion yake ni kuwa matokeo hayo kwa Waislamu ni wanafanyiwa dhulma, serikali wanajua kuhusu dhulma hiyo ila ni muhali kwa serikali kukiri kuhusu Waislamu kufanyiwa dhulma, hapa kwenye dhulma mimi ndipo nataka tuanze napo!.

Hatua ya kwanza ni authentication ya hizi data, kanuni ya kutoa data zozote ni lazima utaje source!, nauliza jee hizi data ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?.

Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje?, naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia majina!.

Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.

Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitafutia ufumbuzi wa kudumu kulitatua tatizo hilo!. Watanzania ni watu wamoja, haiwezekani tujione wamoja kumbe kuna wenzetu wanafanyiwa dhulma kubwa ya kihivi!.

Niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Na nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

Nashauri tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo

1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara
3. Idadi ya matajiri
4. Ufaulu wa darasa la saba
5. Ufaulu wa kidato cha 4
6. Udahili elimu ya juu
7. Asilimia kwenye astashahada
8. Stashahada
9. Shahada
10. Shahada za uzamili
11. Shahada za uzamivu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu.
13. Idadi ya jobless
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu
15. Idadi ya wife materials na husbands material
16. Idadi ya kuoa na kuolewa
17. Utulivu kwenye ndoa
18. Broken homes
19. Single mothers
20. Wanaume wanaotekeza watoto.

Matokeo ya tafiti hizi, japo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!.

Paskali
Kumbe ujinga wako ulianza toka shuleni ndio maana umejaza CCC Kwenye matokeo
 
Kuna mwanasaikolojia mmoja aliwahi kusema kuwa Mtoto akianza kusoma yale maandishi yanayoanzia kulia kwenda kushoto anapungukiwa na Akili ingawa sina uhakika Sana
Maandish ya Hebrew kiyahudi yanaanzia kulia kwenda kushoto unalijuwa hilo?? Au mnaongopeana tu huko kanisani?? Tanzania ni kubwa ingefaa hii nchi ikagawanywa iwe nchi mbili,wanawakumbatia wazanzibar makusudi ili wapate pa kujifichia tulishawashtukia na kufanya dhulma yao.
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.

Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, japo mimi sio mzuri kivile kwenye takwimu, lakini mtu akileta mada na kuivisha data za kimaghumashi, nina uwezo wa kubaini!.

Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, ndani ya Bunge la JMT. Yeye alisema idadi ya wabunge Waislamu ni asilimia 6%, hii maana yake wabunge Wakristo ni asilimia 94%!, nilimbishia nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.

Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Baada ya kumpinga with data estimates only kwa kutumia sampling ya wabunge wa Zanzibar tuu ndani ya Bunge la JMT ambao wote ni Waislamu, idadi hiyo ni over and above hiyo 6%! ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.

Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said
Kwenye takwimu hizi

Mkuu Maalim Mohamed Said ametoa hoja ya msingi sana na ameuliza
1. ama Waislamu wajinga
2. ama akili yao haifanyi kazi,
3. ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu,
4. ama kuna kitu.
5. Kisha akamuomba Waziri anayehusika, ajitokeze na aseme kwa hali ilivyo kama Waislamu wameumbwa wajinga.''
6. Mwisho ndipo kwenye hoja za bandiko hili, Maalim Mohamed Said amesema "huwa tunazungumza na wengi ndani ya serikali ambao wanajua kuwa hili ni tatizo ambalo ni muhali mkubwa kwa serikali kukiri kuwa ndani ya serikali kumekuwa na dhulma hizi"
Conclusion yake ni kuwa matokeo hayo kwa Waislamu ni wanafanyiwa dhulma, serikali wanajua kuhusu dhulma hiyo ila ni muhali kwa serikali kukiri kuhusu Waislamu kufanyiwa dhulma, hapa kwenye dhulma mimi ndipo nataka tuanze napo!.

Hatua ya kwanza ni authentication ya hizi data, kanuni ya kutoa data zozote ni lazima utaje source!, nauliza jee hizi data ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?.

Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje?, naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia majina!.

Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.

Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitafutia ufumbuzi wa kudumu kulitatua tatizo hilo!. Watanzania ni watu wamoja, haiwezekani tujione wamoja kumbe kuna wenzetu wanafanyiwa dhulma kubwa ya kihivi!.

Niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Na nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

Nashauri tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo

1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara
3. Idadi ya matajiri
4. Ufaulu wa darasa la saba
5. Ufaulu wa kidato cha 4
6. Udahili elimu ya juu
7. Asilimia kwenye astashahada
8. Stashahada
9. Shahada
10. Shahada za uzamili
11. Shahada za uzamivu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu.
13. Idadi ya jobless
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu
15. Idadi ya wife materials na husbands material
16. Idadi ya kuoa na kuolewa
17. Utulivu kwenye ndoa
18. Broken homes
19. Single mothers
20. Wanaume wanaotekeza watoto.

Matokeo ya tafiti hizi, japo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!.

Paskali
Hapo kwenye wabunge wa Zanziber pa kujifichia na ndio maana haswa ya kujifanya tunaipenda Zanziber,kwani kama si wao Mhhhh wangeshtuka kitambo usiwaamshe watakujuwa.
 
Hahahaaaaaa mbona unanilazimisha kuwa mfuasi wa shoga papa na shoga Muhammad s.a bro am free from those non sense....mi msukuma halisi mwanaileje mfuata matambiko sasa nyie komaeni na ushoga ugaidi na umbumbu. Siku miafrica kama nyie mkiamka Africa itakuwa china ya pili kwakuwa mshaleweshwa uzungu na uarabu Africa inazd kuzama🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣
Uarabu ndo Nini??
Nani anamtukuza muarabu??

Who is muarabu by the way,being the fact kwamba messenger of god alikuwa muarabu doesn't justify eti sisi tumtukuze muarabu, besides wapo waarabu wengi tuh ambao ni wagalatia kama wewe,wapo waarabu wengi ambao ni atheists wasioamin Mungu kabisa,Sasa sisi tumshobokee mwarabu Kwa lipi??

Iyo ya kushobokea wazungu ni nyinyi makafiri,na ndiyo maana Sasa wanawataka muwe machoko,hiyo ni juu yenu
 
Maandish ya Hebrew kiyahudi yanaanzia kulia kwenda kushoto unalijuwa hilo?? Au mnaongopeana tu huko kanisani?? Tanzania ni kubwa ingefaa hii nchi ikagawanywa iwe nchi mbili,wanawakumbatia wazanzibar makusudi ili wapate pa kujifichia tulishawashtukia na kufanya dhulma yao.
Ni Bora kuwa na akili za mbuzi kuliko kuwa na akili za hawa jamaa aisee...
 
Hayo mazao ndio walikuambiwa walime , je unajua kwamba walifika pwani kwanza wakapata resistance kwamba watu walikuwa washajitambua?

Je unajua walitumia njia ya elimu kushawishi watu wajiunge na dini kama sio mkristo hupati elimu!?..Kitu unaongea hakina maana IQ inapigwa kwa mtu hata kuingia darsan...Tabia kubwa ya IQ kubwa inabebwa na kipaji maalumu katika elimu tunaita Genius.

Sasa njoo kweny talent nchi hii kila kona wameshika dini gani?
Unazungumzia talent gani?!
 
Ni swala la kifalsafa mkuu upande wa pili wanaambiwa kwenye kitabu chao Kuna sayansi na mavitu yote mixa mazaga zaga yote mtume alishayagundua kitambo,Kwa hiyo watu wao hawawezi kuaminishwa au kuona umuhimu wowote kuhusu elimu Dunia,na wakati wagalatia wanahubiriwa usimwache elimu asepenge Kwa hyo kimtindo wanazingatia mahubiri ya padri/pastor.pia mikoa mingi ya pwani Kuna malezi ya hovyo kuliko bara,watoto wengi wa pwani ni wahuni wanaanza kula ndumu mapema kuliko huko bara inakolimwa
Kwani matukio ya kuchinjana na kuuana mara nyingi huwa inatokea sehemu gani hapa Tanzania?
Elimu gani mnayo wakati wengi mazezeta karne ya 21 unaabudu picha ya Brian Deacon.
Kuna hawa walokole wanakata viuno wanaweka bendera ya Israel na Marekani humo makanisani.
 
Hawa wanaotumia nguvu kulazimisha ushago kumbe ndio ukristo!
😅😅😅

Hawa wazee wa haki sana kumbe ni wakristo!? Mbona kule biblia inasema mwanamke haruhusiwi hata kuuliza swali kanisani...
Zbar hapo wamejazana waislam ila ushoga umeshamiri sana mpaka mashoga mengine yanakosa adabu yanafirana kwenye vituko vya polisi
 
Back
Top Bottom