Je, kuna ubaya kuchoma nguo zako zilizochakaa?

Hamna lolote wasikutishe, mimi nauza nguo zangu kabla hazijachakaa
 
Jibu ni, hakuna nyanya mbovu, wanaonunua nyanya jumla huchambua na kuziacha mbovu! Hizo mbovu wapo wanaoziokota na kuzisafisha kisha kuuza nje ya soko kwa kupanga mafungu, na hununuliwa. Nguo unayoiona imechakaa mwenzako inaweza ikavaliwa kama fasheni au akatengeneza kitu kingine na huenda bila kujua ukakinunua wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…