Je, kuna ubaya Tanzania ikavikwapua na kuvifanya visiwa vya Comoro sehemu ya Tanzania?

Mkuu hii kitu niliwaza siku nyingi sana hivi visiwa ni sehemu ya Tanzania kabisa. Nakumbuka enzi hizo tunaenda Mtwara na MV Mapinduzi likipigwa kidogo tu mawimbi tunajikuta tuko Comoros.
Yeah, na kile kiswahili chao cha Kingazija kimenyooka mno, sio kama zile broken za Kenya, vile visiwa ni vyetu kabisa, sijui tulikwama wapi..
 
Ushirikiano na wetu nje ya mipaka yetu ndio lengo kuu, kwa utaratibu kama wa visiwa vya Zenji
Najua wajua kinachoendelea zenji. Kuhusu ushirikiano unaweza kufanyika pasipo hata kuunganisha nchi.
 
Najua wajua kinachoendelea zenji. Kuhusu ushirikiano unaweza kufanyika pasipo hata kuunganisha nchi.
Ni muhimu kuungana, umoja ni nguvu, interaction ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ina interflow freely zaidi pale mnapoungana na mutual benefits zinafurahiwa kwa uhuru zaidi..
 
Jaribu tu utamfahamu aliyekutuma upeleke askari wako kule ni nani. Kama bado humjui.
Jwtz ilitumwa na Rais wa Tanzania kwa makubaliano maalum na umoja wa mataifa.., hayo mengine ni yako.Ufaransa hana influence yeyote hasa kwa nchi imara kama Tz, labda kidogo China..
 
Kwani ukiwa maalum unaleta tofauti gani? Anyway hata kama tulitumwa na nani, Tz sio Comoro, nadhani ifahamike hivyo.., na awamu ya 5 sio ya 4 ile ya kuchekacheka
Utawajuwa tu waliokutuma. Nenda kajaribu "kuvikwapua" ndiyo utawajua zaidi.
 
Utawaju tu walikutuma. Nenda kajaribu "kuvikwapua" ndiyo utawajua zaidi.
Sawa, wacha tujaribu, japo mi sina mamlaka ya kutuma diplomatic delegation huko, wacha tuwasubiri wenye power hizo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…