Je, kuna ubaya Tanzania ikavikwapua na kuvifanya visiwa vya Comoro sehemu ya Tanzania?

Na pia sijaipenda hiyo kauli yake ya mitaro, hana adabu kabisa..😆
 
Nadhani hizo changamoto hata huku zipo, mfano pale Azam, so ni kiasi cha kuzitatua tu
 
Umeshajibu "Yesu ni mwanadamu". Zibgine zite porojo hazina maana wala mpango. Kujidanganya tu.

Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu" au "niabuduni".

Tazama ngonjera sasa bila mpango.

Kwi kwi kwi teh teh teh.

Usije na mambo ya mabwana zako hapa. Hiyo ni hukohuko kwa mabwana zako.
 
Na pia sijaipenda hiyo kauli yake ya mitaro, hana adabu kabisa..😆
Wewe anakusaidia huyo mtoto. Anakuona umeshindwa hoja eti kaanzisha mambo ya dini kwenye mada yako ndiyo anakusaidia.

Ujuha mwengine ni mzigo kweli kweli.
 
Unazeeka vibaya wewe tumbotumbo nimekuambia uandae kitanda nakuja kukuharibu mtaro husikii.
.
"Yule amwaminiye Mwana ana uzima wa milele: na yule asiyemwamini Mwana hatauona uzima; ila ghadhabu ya Mungu hukaajuu yake.” (Yohana 3:36.
.
soma hiyoooo ajuza kitorondo
 
Hiyo kikwenu ndiyo "Mimi Mungu"?

Unazidi kudhihiridha ulivyo poyoyo.
 
I'm with you man, this is a superb idea. Lets do this. I'm very excited right now!
 
Ndoto nzuri. Lakini kama tumeshindwa kutatua "kero za muungano" na visiwani kwa miaka yoooote, tukijiongezea visiwa vingine si ndio tutakuwa tumejiweka vibaya kabisa?
Tatizo linakuja kwa hawa wacomoro,wanapokuwa Tanzania wanataka wapate haki zote azipatazo mtanzania
 
Inaonekana kuna fursa nyingi sana huko, sehem yenye wajinga na wavivu ndiyo rahisi kujinufaisha!
 
Trust me hakuna tutakachofaidika ambacho sasa hakipo Mkuu. Sijui hata kwanini hela yao inatuzidi value mara 5. Lakini ni nchi ya ajabu Sana. Kwanza kile kisiwa cha Moroni kwa Mfano watu wanaishi pembezoni kuzunguka kisiwa sababu katikati ni muinuko ambao pia ni miamba itokanayo na milipuko ya volcano.

Imagine hapa chini ni barabara iliyoko City Centre kabisa kama vile Posta hivi. Yaan ndo pahali palipoendelea angalau angalau

 
Kuna faida za muda mrefu, usiangalie kesho pekee, angalia miaka 10 au 20 ihayo
 
Si mbaya kuongeza 'mke' wa pili

Mahitaji yetu ya sasa si ''mke mwingine''. Tunatakiwa kujikita zaidi katika kuijenga familia yetu kiuchumi, kimaadili na kijamii.
Watoto wapate milo (bora) mitatu,wasome shule nzuri, watibiwe kwa wakati, wawe na maadili mema, tuboreshe makazi yawe bora, tuhusiane vizuri na majirani, tuwe na mahusiano mazuri baina ya wanafamilia (ndugu), tumtunze vizuri mke (ale, avae na kupendeza) lakini pia baba awe angalau na pea mbili za suti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…