Je, kuna ubaya Tanzania ikavikwapua na kuvifanya visiwa vya Comoro sehemu ya Tanzania?

Je, kuna ubaya Tanzania ikavikwapua na kuvifanya visiwa vya Comoro sehemu ya Tanzania?

 
 
Zitumike mbinu za kidiplomasia, ikishindikana kwa ustaarabu basi liundwe zengwe na vikwapuliwe kwa nguvu, maana wanasema umoja ni nguvu, ni kama Zanzibar tu ikivyonyakuliwa. Nasema hivi maana kuna kitu cha ajabu sana nimekigundua baada ya kuencounter wacomorro kadha wa kadha katika mizunguko hasa ya Kariakoo.
Kiukweli hawa watu wanajiina ni waTanzania kamili kabisa, na wanataka haki zote sawana mTanzania mwingine yeyote yule. Yaani uFaransa anatoka alikotoka kisha anakuja uwani kwetu kumiliku kisiwa, huu ni upunguani wa wapi huu?

Tunaomba tupewe historia ya Commoro kwanza ili tujue tulikwama wapi?

Moja ya manufaa makubwa sana ambayo nimeyaona kwa integration tuliyoifanya na Zanzibar ni 'huge economic, social & political cooperation', fikiria ni kwa urahisi kiasi gani Tanesco imeweza kuuza umeme mwingi sana visiwani bila vikwazo vyovyote, fikiria namna wanafunzi wanapokuja kusoma vyuo vikuu vya bara na kupata mikopo minono ya Heslb bila hiyana wala vikwazo vyovyote vile, pia ona jinsi watu toka visiwani wanavyokuja kupata ajira na kufanya biashara bara bila usumbufu, fikiria jinsi bara tunavyoagiza maziwa toka Zanzibar bila shida yeyote ile, faida ni lukuki.

Lakini ninachokisikia kwa chini ya kapeti ni kwamba kisiwa kimoja wapo cha Comoros kinachomilikiwa na wazungu kinatumika vibaya kutunyonya na kututikisa, mfano eti kuna wakati walikuwa wananunua ng'ombe maelfu kwa maelfu, wanapelekwa hapo kisiwani, wanachakatwa kisha nyama kupelekwa paris, lakini kiutaratibu walipaswa watengeneze kiwanda cha kuchakata hizo nyama hapa nchini kisha zisafirishwe kwenda paris tokea hapa na mapato stahiki ya kodi ya baki hapa, huo ni mfani tu.
Kingine ni Tax evasion techniques kama zile zinazofanyika visiwa vya Seychelles, ni kwamba kampuni inacheza sarakasi kwa kutumia mamlaka za visiwa zilizopo karibu na nchi yako, hivyo wanakuja kufanya biashara kwako lakini base yake anaiweka uwani kwako ambapo huwezi kumfikia sababu ni mamlaka ya mtu mwingine, hii michezo ilitaka kufanyika kwa kuitumia Zanzibar hasa katika uagizaji wa sukari na spea za pikipiki, lakini kwakuwa tuna-control na Zenji ilikuwa ni rahisi kwetu kudhibiti hali hiyo.

===============================

===============================
Likes 58 tayari [emoji3][emoji106][emoji122][emoji123]
Tanzania haijawahi ku play dominant. Huwa siku zote tuna play victim. Ndo maana utasikia kila kukicha ni kulia, mara tumeonewa, mara tunataka kuuliwa, mara tunakopa mara tumenyinwa msaada.

Kwa hizi mindset huwezi ku dominate ardhi yoyote kama marekani anavofanya

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Tanzania haijawahi ku play dominant. Huwa siku zote tuna play victim. Ndo maana utasikia kila kukicha ni kulia, mara tumeonewa, mara tunataka kuuliwa, mara tunakopa mara tumenyinwa msaada.

Kwa hizi mindset huwezi ku dominate ardhi yoyote kama marekani anavofanya

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Tumeweza Zenj tu 😂😂
 
Kama mambo yenyewe ndio haya na Zenji, basi nimebadili mawazo
 
Nilikutana na mcomoro mmoja hapo regence hospital .
Sikujua namsalimia akajibu. Sasa kumuuliza mambo mengine naona anasema hawez kiswahili.
Basi bana nikajitia afisa uhamiaji nikaanza kumhoji.
we n mtz gan hujui kiswahili?? (hapa nikatumia kingereza)

Akaniambia yy anaongea kifaransa na anatokea comoro tz anakujaga kwa ndugu
 
Sorry Nina maana Hawaii yenyewe itatoweka kwenye uso wa dunia kwani inazama taratibu
Na sisi isije ikawa tunatamani bomu

Had ije izame ww na ukoo wako kutakua hakuna hata salia mmoja.

kina cha maji kina ongezeka cm2 kila baada ya miaka 100
 
Had ije izame ww na ukoo wako kutakua hakuna hata salia mmoja.

kina cha maji kina ongezeka cm2 kila baada ya miaka 100
Ungesema koo zote na watu wote wa sasa hatutakuwepo duniani baada ya miaka 100
Ila ni giografia tu ya dunia mkuu usiwe na wasiwasi

Mbona tunaambiwa habari za miaka milion 3 iliyopita kwani nani alikuwepo ?
 
Wacomoro wanapenda sana kuwa watanzania, kiswahili wanakijua vizuri sana. Sijui nyerere hakuona huko nako tungepachukua nchi yetu ingekuwa dola kubwa zaidi. Kama vipi tuwashawishi tu wajiunge nasi halafu watatakuwa na serikali yao kama zanzibar.
 
Wacomoro wanapenda sana kuwa watanzania, kiswahili wanakijua vizuri sana. Sijui nyerere hakuona huko nako tungepachukua nchi yetu ingekuwa dola kubwa zaidi. Kama vipi tuwashawishi tu wajiunge nasi halafu watatakuwa na serikali yao kama zanzibar.
Huo ujinga hakuna tena, nimegundua hawa Zanzibar ni mzigo mkubwa sana baada ya mama kuingia madarakani, imagine hata umeme hawalipi..
 
Ungesema koo zote na watu wote wa sasa hatutakuwepo duniani baada ya miaka 100
Ila ni giografia tu ya dunia mkuu usiwe na wasiwasi

Mbona tunaambiwa habari za miaka milion 3 iliyopita kwani nani alikuwepo ?

ebu elewa ww tatizo unakimbilia kujibu

cm2 kila baada ya miaka 100

Ili visiwa vya comoro vizame labda itahitaji maji yafike urefu wa km1

so chukua km1 to cm
 
Back
Top Bottom