chinatown
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,232
- 1,105
Embu tujadili na kuangalia umuhimu/ulazima wa hii michango ya harusi .Tunaishi kijamaa ndani ya mifumo ya kipepari,tuna vipato vya kawaida sana hasa kwa ndugu zangu wafanyakazi.
Wafanyakazi wanakipato kidogo mno hakiendani na uhalisia wa maisha,na pale anapoishi kijamaa kwa kushiriki hizi shughul za ndoa anaweza akajikuta ana kadi hata kumi kwa mwaka ambazo zote zimeweka angalizo, single ni 80,000/= sasa mfanyakazi mtanzania anamudu vipi maisha haya?
1. Hii michango ni lazima kuendelea kutuumia
2. Mbadala wake iwe ni nini
3. Nani wa kumchangia na nani wa kutomchangia?
Tujadili mawazo yenu
Wafanyakazi wanakipato kidogo mno hakiendani na uhalisia wa maisha,na pale anapoishi kijamaa kwa kushiriki hizi shughul za ndoa anaweza akajikuta ana kadi hata kumi kwa mwaka ambazo zote zimeweka angalizo, single ni 80,000/= sasa mfanyakazi mtanzania anamudu vipi maisha haya?
1. Hii michango ni lazima kuendelea kutuumia
2. Mbadala wake iwe ni nini
3. Nani wa kumchangia na nani wa kutomchangia?
Tujadili mawazo yenu