shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Da mada hii imekuja muda muafaka kuna jamaa tulisoma nae levo fulani tena nahisi yuko humu da nilikuta kaniadi groupu la watsp nikakuta ameandika jina langu na akaenda mbali zaidi akandikq eti mchango wangu laki moja.
Da jamaa atanisamehe mimi sitoi na hata mimi sina mpango wa kuomba mchango kwa mtu.Nitakwenda zangu kanisani kwa pikipiki nafunga nikitoka hapo narudi kwangu sitaki usumbufu sitoarika mtu wala sitaki sherehe.
Da jamaa atanisamehe mimi sitoi na hata mimi sina mpango wa kuomba mchango kwa mtu.Nitakwenda zangu kanisani kwa pikipiki nafunga nikitoka hapo narudi kwangu sitaki usumbufu sitoarika mtu wala sitaki sherehe.