Je, kuna uhalali na ulazima wa michango ya harusi?

Je, kuna uhalali na ulazima wa michango ya harusi?

Da mada hii imekuja muda muafaka kuna jamaa tulisoma nae levo fulani tena nahisi yuko humu da nilikuta kaniadi groupu la watsp nikakuta ameandika jina langu na akaenda mbali zaidi akandikq eti mchango wangu laki moja.

Da jamaa atanisamehe mimi sitoi na hata mimi sina mpango wa kuomba mchango kwa mtu.Nitakwenda zangu kanisani kwa pikipiki nafunga nikitoka hapo narudi kwangu sitaki usumbufu sitoarika mtu wala sitaki sherehe.
 
Embu tujadili na kuangalia umuhimu/ulazima wa hii michango ya harusi .Tunaishi kijamaa ndani ya mifumo ya kipepari,tuna vipato vya kawaida sana hasa kwa ndugu zangu wafanyakazi.

Wafanyakazi wanakipato kidogo mno hakiendani na uhalisia wa maisha,na pale anapoishi kijamaa kwa kushiriki hizi shughul za ndoa anaweza akajikuta ana kadi hata kumi kwa mwaka ambazo zote zimeweka angalizo, single ni 80,000/= sasa mfanyakazi mtanzania anamudu vipi maisha haya?

1. Hii michango ni lazima kuendelea kutuumia
2. Mbadala wake iwe ni nini
3. Nani wa kumchangia na nani wa kutomchangia?

Tujadili mawazo yenu
Hakuna uhalali wala ulazima wa mchango wa harusi. Binafsi nimeoza wanangu wote sijamchangisha mtu na pia sichngii harusi yoyote.

Ninachofanya ni kuwapa zawadi maharusi tena muda mrefu sana baada ya harusi.
 
Unaanzaje Kuomba Mchango wa harusi?Mtu mwenye akili Timamu Unachangiaje Harusi.Kuchangia Harusi ni Dalili za Ugonjwa wa Akili ilakuomba mchango wa Harusi ni Kichaa kamili.Changi vitu vya msingi ila sio kuchangia Vitu vya ajabu kama Hivyo.Mke/mume ni wake unaanzaje kuchangia.
 
Hadi tutakapokuwa na akili timamu ndipo tutagundua kuwa michango ya Arusi ni janga la Taifa.
Kuna nyingine imeibuka miaka ya hivi karibuni...
Ukiitisha kikao cha harusi..kikao cha kwanza unapika chakula cha maana watu wale washibe na kunywa.
Imeshakuwa ni utaratibu yaani kuna mambo mengine tunajipa mzigo usiokuwa na sababu
 
Embu tujadili na kuangalia umuhimu/ulazima wa hii michango ya harusi .Tunaishi kijamaa ndani ya mifumo ya kipepari,tuna vipato vya kawaida sana hasa kwa ndugu zangu wafanyakazi.

Wafanyakazi wanakipato kidogo mno hakiendani na uhalisia wa maisha,na pale anapoishi kijamaa kwa kushiriki hizi shughul za ndoa anaweza akajikuta ana kadi hata kumi kwa mwaka ambazo zote zimeweka angalizo, single ni 80,000/= sasa mfanyakazi mtanzania anamudu vipi maisha haya?

1. Hii michango ni lazima kuendelea kutuumia
2. Mbadala wake iwe ni nini
3. Nani wa kumchangia na nani wa kutomchangia?

Tujadili mawazo yenu
Kuna uhalali, ila hakuna ulazima.
 
hayo mambo mimi nilishajifungia, nimebatizwa jina naitwa mkorofi ila watatjijua wenyewe.
 
Embu tujadili na kuangalia umuhimu/ulazima wa hii michango ya harusi .Tunaishi kijamaa ndani ya mifumo ya kipepari,tuna vipato vya kawaida sana hasa kwa ndugu zangu wafanyakazi.

Wafanyakazi wanakipato kidogo mno hakiendani na uhalisia wa maisha,na pale anapoishi kijamaa kwa kushiriki hizi shughul za ndoa anaweza akajikuta ana kadi hata kumi kwa mwaka ambazo zote zimeweka angalizo, single ni 80,000/= sasa mfanyakazi mtanzania anamudu vipi maisha haya?

1. Hii michango ni lazima kuendelea kutuumia
2. Mbadala wake iwe ni nini
3. Nani wa kumchangia na nani wa kutomchangia?

Tujadili mawazo yenu
Hakuna kitu cha bure dunia hii, kila kitu lazima ulipie gharama yake..
 
Hakuna uhalali wala ulazima wa mchango wa harusi. Binafsi nimeoza wanangu wote sijamchangisha mtu na pia sichngii harusi yoyote.

Ninachofanya ni kuwapa zawadi maharusi tena muda mrefu sana baada ya harusi.
Uko kama mimi
 
Back
Top Bottom