shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Hakuna uhalali wala ulazima wa mchango wa harusi. Binafsi nimeoza wanangu wote sijamchangisha mtu na pia sichngii harusi yoyote.Embu tujadili na kuangalia umuhimu/ulazima wa hii michango ya harusi .Tunaishi kijamaa ndani ya mifumo ya kipepari,tuna vipato vya kawaida sana hasa kwa ndugu zangu wafanyakazi.
Wafanyakazi wanakipato kidogo mno hakiendani na uhalisia wa maisha,na pale anapoishi kijamaa kwa kushiriki hizi shughul za ndoa anaweza akajikuta ana kadi hata kumi kwa mwaka ambazo zote zimeweka angalizo, single ni 80,000/= sasa mfanyakazi mtanzania anamudu vipi maisha haya?
1. Hii michango ni lazima kuendelea kutuumia
2. Mbadala wake iwe ni nini
3. Nani wa kumchangia na nani wa kutomchangia?
Tujadili mawazo yenu
Kuna nyingine imeibuka miaka ya hivi karibuni...Hadi tutakapokuwa na akili timamu ndipo tutagundua kuwa michango ya Arusi ni janga la Taifa.
Kuna uhalali, ila hakuna ulazima.Embu tujadili na kuangalia umuhimu/ulazima wa hii michango ya harusi .Tunaishi kijamaa ndani ya mifumo ya kipepari,tuna vipato vya kawaida sana hasa kwa ndugu zangu wafanyakazi.
Wafanyakazi wanakipato kidogo mno hakiendani na uhalisia wa maisha,na pale anapoishi kijamaa kwa kushiriki hizi shughul za ndoa anaweza akajikuta ana kadi hata kumi kwa mwaka ambazo zote zimeweka angalizo, single ni 80,000/= sasa mfanyakazi mtanzania anamudu vipi maisha haya?
1. Hii michango ni lazima kuendelea kutuumia
2. Mbadala wake iwe ni nini
3. Nani wa kumchangia na nani wa kutomchangia?
Tujadili mawazo yenu
Hakuna kitu cha bure dunia hii, kila kitu lazima ulipie gharama yake..Embu tujadili na kuangalia umuhimu/ulazima wa hii michango ya harusi .Tunaishi kijamaa ndani ya mifumo ya kipepari,tuna vipato vya kawaida sana hasa kwa ndugu zangu wafanyakazi.
Wafanyakazi wanakipato kidogo mno hakiendani na uhalisia wa maisha,na pale anapoishi kijamaa kwa kushiriki hizi shughul za ndoa anaweza akajikuta ana kadi hata kumi kwa mwaka ambazo zote zimeweka angalizo, single ni 80,000/= sasa mfanyakazi mtanzania anamudu vipi maisha haya?
1. Hii michango ni lazima kuendelea kutuumia
2. Mbadala wake iwe ni nini
3. Nani wa kumchangia na nani wa kutomchangia?
Tujadili mawazo yenu
Uko kama mimiHakuna uhalali wala ulazima wa mchango wa harusi. Binafsi nimeoza wanangu wote sijamchangisha mtu na pia sichngii harusi yoyote.
Ninachofanya ni kuwapa zawadi maharusi tena muda mrefu sana baada ya harusi.