Je? Kuna uhusiano kati ya Maumivu ya Tumbo na RIPOTI

Je? Kuna uhusiano kati ya Maumivu ya Tumbo na RIPOTI

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Hili suala hutokea kwa watu tofauti tofauti wakati wakiandaa
ripoti hasa zinazohusiana na masuala ya Fedha.
Je? Kitaalamu lina adhari gani?
ni kiasi gani cha nyongo hutengenezwa na kuleta maumivu/madhara
kwa muandaa ripoti?
Je? inakwenda sambamba na kiasi cha Fedha
Kwa mfano.
Ripoti ya sh laki 5 maumivu yake ni kidogo kulinganisha
na report ya sh.milioni 100 vivyo hivyo kwa ripoti ya bi na tri?
 
Back
Top Bottom