Je, kuna uhusiano kati ya mwanamke kuwa muasherati na kabila analotoka?

Je, kuna uhusiano kati ya mwanamke kuwa muasherati na kabila analotoka?

mlossy

Member
Joined
Jun 25, 2012
Posts
40
Reaction score
34
Habari zenu wana jukwaa. Ni matumaini yangu weekend imeenda vizuri kwetu sote. Kwa wale ambao weekend haikuwa nzuri kwao kutokana na matatizo ya kiafya basi nawaombea Dua Mungu awaponye.

Nirudi kwenye mada yetu kama inavyojieleza hapo juu.

Nianze kwa kusema kuwa nimekuwa nikikutana na hoja hii mara kwa mara baadhi ya watu wakisema kuwa ukioa kabila fulani basi hutadumu naye kwenye ndoa kwa sababu wanawake wa kabila lile hawatulii kwenye ndoa kwa sababu ni wachepukaji sana hawaridhiki na mwanaume mmoja.
Je kuna ukweli kwenye hili? Sababu hasa ni nini inayopelekea hali hiyo?

Naomba kuwasilisha!
 
Habari zenu wana jukwaa. Ni matumaini yangu weekend imeenda vizuri kwetu sote. Kwa wale ambao weekend haikuwa nzuri kwao kutokana na matatizo ya kiafya basi nawaombea Dua Mungu awaponye.

Nirudi kwenye mada yetu kama inavyojieleza hapo juu.

Nianze kwa kusema kuwa nimekuwa nikikutana na hoja hii mara kwa mara baadhi ya watu wakisema kuwa ukioa kabila fulani basi hutadumu naye kwenye ndoa kwa sababu wanawake wa kabila lile hawatulii kwenye ndoa kwa sababu ni wachepukaji sana hawaridhiki na mwanaume mmoja.
Je kuna ukweli kwenye hili? Sababu hasa ni nini inayopelekea hali hiyo?

Naomba kuwasilisha!
Hakuna uhusiano kabsa. Zingine ni hurka za mtu mmoja mmoja tu
 
Tabia ya mtu ni tabia tu,yale Mambo ya samaki mmoja akioza wameoza wote Hapana si kweli Bali unamtoa wengine unawapika supu unakula fresh kabisa
 
Kuna kabila moja Singapore ya Tz, aisee ni weupeee, na hawagomi Kabisa ,wamejaa kwenye ma bar
 
Back
Top Bottom