Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?


(80%) Kwa mama? nina rafiki yangu alikuwa mzito sana darasan ila mumewe ni smart sasa wale watoto ni bright ajabu sasa huu uwiano unakuwaje?
 
utajuaje kua mtt hyo karithi..kutoka kwa babu zke ikiwa ww baba au mama hajawai kuwaona na kujua mienendo pindi wapo hai?kwa uwelewa wng mdogo. kr mtu huzaliwa na akili.kipaji
TATIZO MALEZI.
 

Hahaaaaaa hii ni kweli kabisa! Ingawaje ni exceptional case kwa sababu hata 20% za baba nazo ni mbaya zaidi! Baba kilaza + mama kilaza= mwanaasha!
 
Karibuni nyote katika kuijadili hii kitu kwani wanasaikolojia baadhi wanasema kuwa 99% ina ukweli.
 
sasa mbona hakuna maelezo ya kujitosheleza on how sio kwamba ina wezekana na kuishia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…