Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

Nina mifano mingi ya uswahilini kwetu ambapo unaona kabisa bimkubwa kilaza lkn mtoto wake kila term anachukua nafasi ya kwanza Kwasababu ya bidii yake ya kujisomea ambayo inakuza upeo wake

Well, kwa nini huyo mtoto asiweze kurithi hizo akili toka kwa baba wakati baba naye anachangia asilimia 50 ya uwepo wa huyo mtoto?
 
Ukizaa mtotowako muandae vizuri kwakumpeleke shule afundishwe than atakuwa na akilinzuri siokutegemea akiliza mama baba mjomba au babu. Binadamu anaandaliwa iliawe nauwezo wa kufanya mambo kwa usahihi.
 
Well, kwa nini huyo mtoto asiweze kurithi hizo akili toka kwa baba wakati baba naye anachangia asilimia 50 ya uwepo wa huyo mtoto?

Ndio Maana nikasema IQ inahusika kwa kiasi kikubwa na mazingira pia zaidi ya kurithi. Hata kama Mzazi au wazazi walikuwa wana akili kama mtoto hakulelewa kwenye mazingira ya kuboost IQ yake ni kazi bure

Mimi nimesoma na watoto wa profesa na dokta,baba profesa muhimbili na mama daktari lkn walikuwa viraza kwelikweli darasani
 
Ndio Maana nikasema IQ inahusika kwa kiasi kikubwa na mazingira pia zaidi ya kurithi. Hata kama Mzazi au wazazi walikuwa wana akili kama mtoto hakulelewa kwenye mazingira ya kuboost IQ yake ni kazi bure

Mimi nimesoma na watoto wa profesa na dokta,baba profesa muhimbili na mama daktari lkn walikuwa viraza kwelikweli darasani

Kwa hiyo basi huyo dogo wa huko Uswazi kwenu kwa sababu bimkubwa wake ni kilaza na yeye dogo ni kipanga, huenda karithi huo ukipanga kutoka kwa mshua na si bi mkubwa wake.

Ndo narudi kulekule kwamba mtoto anaweza kurithi kwa mzazi yeyote yule, baba au mama au hata wote kwa mpigo.
 
Mimi nadhani ni game of chances tu. Kwa sababu, kama nilivyotolea mfano hapo awali, nilikuwa na jirani ambao wazazi wote wawili ni maprofesa tena kwenye fani za sayansi lakini watoto wao hata common sense hawakuwa nazo achilia mbali akili za darasani.

Na nina dada-binamu ambaye mama yake hata kusoma vizuri hajui lakini sasa hivi huyo binti yupo chuoni akisomea shahada ya usanifu majengo. Mdingi wake naye si mwenye 'akili' nyingi kivile - ni mjeda tu wa V tatu.

Sasa hapo utaona kabisa kuwa huyo binti hakurithi toka kwa mama wala baba. Who knows karithi toka kwa nani.

Halafu, sidhani kama ni lazima sana kurithi akili toka kwa mtu. Nadhani hata wewe mwenyewe tu DNA yako inaweza ikawa configured kihivyo, kwamba ukawa na maakili mengi tu.

Pamoja na hayo, bado naamini katika uwezekano wa mtu kurithi akili kutoka kwa wazazi wote wawili kuwa ni mkubwa zaidi kuliko kurithi kutoka kwa babu au bibi au hiyo ya DNA yako mwenyewe.

ha ha ha ha! labda wa mchepuko!
 
kwa aliefika form four hawezi kuuliza swali hili.
 
Ukiangalia sana hata mleta mada unaweza kuwa na IQ ndogo kuliko hata huyo Dada.

Kuna wazee hawajui lolote lakini wamezaa watoto vichwa na wengine ni marais.

Baba take Obama hakuwa na akili kama mwanaye.

In red: sijui umetumia vigezo gani kusema nina IQ ndogo kuliko huyo dada maana hunujui na huyo dada humnui. Kwa taarifa yako ukitumia kigezo cha shule kama nilivyosema kuhusu huyo dada ntakua na IQ kubwa sana maana kishule shule nilikua mzuri sana. Lakini pia hata mambo mengine ya kawaida bado niko mzuri.

In blue: Ulochokiandika hakieleweki,jaribu kukaa utulie na uandike upya.

Bold black: Hakuna ushahidi kwamba obama mzee alikua na akili sana wala obama mwana ana akili sana. Labda unipe ushahidi.
 
Habari.

Niwatakie mapumziko mema ya uhuru wa nchi yetu pendwa Tanganyika,

Turudi kwenye mada,nataka kujua kama kuna uhusiano wa akili (intelligence) mama na mtoto,yaani kama uwezo wa akili wa mama unaweza kua na madhara(effects/impacts) kwa mtoto atakae mzaa.

Kuna binti niko nae kama rafiki,uwezo wake wa darasani ulikua mdogo sana,akili ya darasani ni ndogo sana lakini ni mzuri sana kwa umbile na mwenendo/tabia..

Je anaweza akaja kuzaa watoto wenye akili ndogo darasani kama yeye au watakua tofauti?

Karibuni.

Ni swali zuri sana. Kwa kifupi tu jibu ni ndiyo, uhusiano upo. Inaombwa ieleweke kuwa kila mtoto anayezaliwa lazima arithi toka kwa wazazi wake ili kizazi kisipotee. Mtoto anaweza kurithi toka kwa wazazi wake moja kwa moja (baba na mama) au toka kwa ancestors (babu/bibi) wake au hata nyuma ya hawa. Kikubwa tunachopaswa kujua ni kwamba, uwezekano wa kurithi huwa mkubwa toka kwa wazazi wako kabisa, na kubwa zaidi, mama ndiye mwenye nafasi kubwa zaidi (80%) ya kumrithisha mwanaye kuliko baba, ambaye mara nyingi baba hurithisha kwa 20% kwa wastani.
Ndiyo maana kabla ya kuoa mchunguze sana mtarajiwa wako upande wa mamaake, yaani wajomba na mama zake wadogo/wakubwa. Hii itakupa picha fulani juu ya mkeo anaweza kukuzalia watoto wa namna gani.
Asante
 
Ni swali zuri sana. Kwa kifupi tu jibu ni ndiyo, uhusiano upo. Inaombwa ieleweke kuwa kila mtoto anayezaliwa lazima arithi toka kwa wazazi wake ili kizazi kisipotee. Mtoto anaweza kurithi toka kwa wazazi wake moja kwa moja (baba na mama) au toka kwa ancestors (babu/bibi) wake au hata nyuma ya hawa. Kikubwa tunachopaswa kujua ni kwamba, uwezekano wa kurithi huwa mkubwa toka kwa wazazi wako kabisa, na kubwa zaidi, mama ndiye mwenye nafasi kubwa zaidi (80%) ya kumrithisha mwanaye kuliko baba, ambaye mara nyingi baba hurithisha kwa 20% kwa wastani.
Ndiyo maana kabla ya kuoa mchunguze sana mtarajiwa wako upande wa mamaake, yaani wajomba na mama zake wadogo/wakubwa. Hii itakupa picha fulani juu ya mkeo anaweza kukuzalia watoto wa namna gani.
Asante

mmmh!!
 
Habari.

Niwatakie mapumziko mema ya uhuru wa nchi yetu pendwa Tanganyika,

Turudi kwenye mada,nataka kujua kama kuna uhusiano wa akili (intelligence) mama na mtoto,yaani kama uwezo wa akili wa mama unaweza kua na madhara(effects/impacts) kwa mtoto atakae mzaa.

Kuna binti niko nae kama rafiki,uwezo wake wa darasani ulikua mdogo sana,akili ya darasani ni ndogo sana lakini ni mzuri sana kwa umbile na mwenendo/tabia..

Je anaweza akaja kuzaa watoto wenye akili ndogo darasani kama yeye au watakua tofauti?

Karibuni.

Kama ambavyo sex ya mtoto inakuwa determined na baba kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mama na IQ ya mtoto. Lakini pia mazingira yanachangia. This has been proved scientifically.
 
kwahiyo hizo iq za wajomba na mama zitakuwa zinapimwaje??? sie ambao shule haikupanda ndio hatuolewi????

Hahahaaaa, swali zuri sana atoto. Mjomba ni ndugu wa mama yako, hivyo wamerithi toka kwa mama yao mmoja. Hivyo kama wajomba wako vizuri kiakili, maana yake hata dada yao(mamaako) naye pia aghalabu atakuwa intelligent. Kuwa na IQ nzuri siyo lazima uende shule. Mtu mwenye IQ nzuri utamuona hata katika kutoa maamuzi, uwezo wa kujieleza n.k utamjua tu. Hii ni sayansi siyo maneno yangu jamani
 
Hahahaaaa, swali zuri sana atoto. Mjomba ni ndugu wa mama yako, hivyo wamerithi toka kwa mama yao mmoja. Hivyo kama wajomba wako vizuri kiakili, maana yake hata dada yao(mamaako) naye pia aghalabu atakuwa intelligent. Kuwa na IQ nzuri siyo lazima uende shule. Mtu mwenye IQ nzuri utamuona hata katika kutoa maamuzi, uwezo wa kujieleza n.k utamjua tu. Hii ni sayansi siyo maneno yangu jamani

khaaah!!! kwahiyo kabla ya kuoa unaanza research, ukiona hewa anatafuta mwingine!! au unaanza research ndio kupenda kunafuatia??? mbona kazi mnayo sasa!
 
khaaah!!! kwahiyo kabla ya kuoa unaanza research, ukiona hewa anatafuta mwingine!! au unaanza research ndio kupenda kunafuatia??? mbona kazi mnayo sasa!

Inabidi wanawake sasa waaanze kutembea na cv au matokeo yao ya darasani,excuse ni kama tu hukusoma.
 
Kwa hiyo kumbe akina sie ambao tulifeli shuleni si kosa letu.

Tumerithi ukiazi toka kwa mama.

Mkuu Nyani Ngabu, nimecheka sana sana. Si kila mara zote inakuwa hivyo mkuu. Unajua kwa historia na genes kizazi kinahesabika hadi cha nne, kwa hiyo inawezekana hata mtoto akapata akili za babu wa babu wa babu. Ila cha msingi ni kujitahidi wakati wa kuoa au kuolewa kuangalia mambo mengine pia na si uzuri wa sura au 6X6 na mali kwa wale wadada wahusuduo mali hata kama mume ni jambazi au muuza unga au mpiga dili yeye hajali hata kama akizaa zezeta.
 
uwezekano upo watoto mara nying iq wanarithi kwa mama
duh, sasa ukifuata uzuri upstairs ni uji - ni hatari sana kwa watoto watarajiwa maana bila akili kuishi dunia ya sasa ni ngumu mno.
 
duh, sasa ukifuata uzuri upstairs ni uji - ni hatari sana kwa watoto watarajiwa maana bila akili kuishi dunia ya sasa ni ngumu mno.

Sio hatari kwa watoto tu hata kwa ustawi wa maendeleo yenu wanandoa
 
Back
Top Bottom