Je, kuna uhusiano wa kufanya sana ngono na kuwa mwembamba?

Je, kuna uhusiano wa kufanya sana ngono na kuwa mwembamba?

Step by step

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2014
Posts
1,164
Reaction score
1,293
Kichwa cha habari chajieleza.

Nimeikuta mahali hii,

Kuna jamaa mwembamba na hajawahi kuwa na mwili japo ana hela na kila kitu. Sasa wanamshambulia eti hanenepi kisa anahusudu sana papuchi.

Je, pana ukweli hapa?
 
majibu yamekua mafupi sana wekeni maelezo scientifically
 
Kuna ukweli ukipenda sana kusimamia ukucha lazima mwili upungue
 
It depend with your food routine kama unapenda sana papuchi at the same time papuchika inakushauri mkale chips na mishikika obvious lazima utakuwa slim and weak, because during sex men we spend too much energy just imagine kila bao moja sawa na kutembea km 7, papuchi siyo poa ni kama gongo hiyo aiseee.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
It depend with your food routine kama unapenda sana papuchi at the same time papuchika inakushauri mkale chips na mishikika obvious lazima utakuwa slim and weak, because during sex men we spend too much energy just imagine kila bao moja sawa na kutembea km 7, papuchi siyo poa ni kama gongo hiyo aiseee.
 
kumbuka kwenye lile tendo unatoa protini mingi sana kupitia sperms sasa kukonda kwake ni sahihi kabisa 100%
 
Back
Top Bottom