Kuna siku fulani nilikua nimetoka kituo cha mafuta gati ilikua inasumbua cylinder head kwaio ukiwasha A/C tu lazima ichemshe nimetia wese la 50,000 sababu ya jua kali nina sweat vibaya mno basi konda wa pembeni "alivyoniona akasema baba majqsho yote hayo kulikoni? Si umetoka sheli washa kiyoyozi hicho niliishia kucheka tu kilichofamnyika nilijichanga ku repair cylinder head sasa hivi ni full time a/c hata safari iwe buguruni kariakoo ni mwendo wa a/c foleni iwe ndefu kiasi gami haitembei ni full time a/c..ubahili hauna faida yoyote ile..wese la 55,000 full time a/c natumia siku 7 au 8..