Je kuna uhusiano wowote wa ac ya gari na ilaji wa mafuta?

Kumbe...hata mimi subaru nikiweka mafuta ya elfu 10 natembea kilometa 40 bila Ac.
 
Demu wangu akiingiaga kwenye gari yangu, cha kwanza utamsikia "washa AC".
Ananikeraga, basi tu
 
Samahani ni gari Aina gani!?

NB: sijabahatika kununua gari Ila nafuatilia forum hii kwa umakini, pengine kuna siku yangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…