Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya wanatengenezwa hivi.Habari Waungwana!
Nimekuwa nikitamani kuwa na watoto mapacha, lakini sijui nifanyeje ili niweze kutimiza ndoto yangu hii.
Kwenye familia yetu hatuna asili ya kuwa na mapacha pande zote mbili, upande wangu na wa mwenza wangu. Najua kupitia jukwaa hili naweza kupata ushauri wa kitaalamu zaidi nini cha kufanya au kama kuna mtu nayefahamu hospitali/ daktari anayeweza kuwa msaada kwenye issue hii nitashukuru akinielekeza.
Changia hoja kwa manufaa yangu na ya wanajukwaa kwa ujumla kwa kuwa inawezekana kabisa ukawa umesaidia wengi kuliko unavyofikiria.
Aksante.
nimejitahidi kutafuta hao twins nimechoka maana, kila tukijaribu na wife hola hadi wamefika 5 sasa. nasema basi
Muulize Kylin labda
nimejitahidi kutafuta hao twins nimechoka maana, kila tukijaribu na wife hola hadi wamefika 5 sasa. nasema basi
Habari Waungwana!
Nimekuwa nikitamani kuwa na watoto mapacha, lakini sijui nifanyeje ili niweze kutimiza ndoto yangu hii.
Kwenye familia yetu hatuna asili ya kuwa na mapacha pande zote mbili, upande wangu na wa mwenza wangu. Najua kupitia jukwaa hili naweza kupata ushauri wa kitaalamu zaidi nini cha kufanya au kama kuna mtu nayefahamu hospitali/ daktari anayeweza kuwa msaada kwenye issue hii nitashukuru akinielekeza.
Changia hoja kwa manufaa yangu na ya wanajukwaa kwa ujumla kwa kuwa inawezekana kabisa ukawa umesaidia wengi kuliko unavyofikiria.
Aksante.
mkuu ahsante....Mkuu hongera sana