Je, kuna ukweli hii miaka tuliyonayo ndio umri wa Yesu Kristu?

Je, kuna ukweli hii miaka tuliyonayo ndio umri wa Yesu Kristu?

mlinzi mlalafofofo

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2008
Posts
725
Reaction score
1,282
Wakuu eti kuna ukweli hii miaka tuliyonayo sasa kwa mfano mwaka huu wa sasa yani 2024 ndio umri halali wa Bwana wetu Yesu Kristu (Neema na amani iwe juu yake!)

Yaani miaka hii tuliyonayo ilianza kuhesabiwa mara tu baada ya kuzaliwa kwa masihi, Bwana wetu Yesu Kristu?

Je, kuna ukweli? Na kama ni kweli ni kwanini walisubiri hadi masihi azaliwe ndio waanze kuhesabu?

Je, hiyo miaka ya nyuma kulikuwa na shida gani iliyofanya wasihesabu miaka hadi wasubiri kuzaliwa kwa masihi, asiye na waa la dhambi yeyote, mpalizwa mbinguni, Mwana wa mungu, Mwanga kwa Mwanga, Bwana wetu Yesu Kristu azaliwe?

Je, hiyo ina maana gani au ndio kusema Bwana wetu Yesu Kristu ndio ndiye mtawala halali kabisa wa dunia hii?
 
Wakuu eti kuna ukweli hii miaka tuliyonayo sasa kwa mfano mwaka huu wa sasa yani 2024 ndio umri halali wa Bwana wetu Yesu Kristu (Neema na amani iwe juu yake!!).

Yaani miaka hii tuliyonayo ilianza kuhesabiwa mara tu baada ya kuzaliwa kwa masihi, Bwana wetu Yesu Kristu?

Je kuna ukweli? na kama ni kweli ni kwanini walisubiri hadi masihi azaliwe ndio waanze kuhesabu?

Je hiyo miaka ya nyuma kulikuwa na shida gani iliyofanya wasihesabu miaka hadi wasubiri kuzaliwa kwa masihi, asiye na waa la dhambi yeyote, mpalizwa mbinguni, Mwana wa mungu, Mwanga kwa Mwanga, Bwana wetu Yesu Kristu azaliwe?

Je hiyo ina maana gani au ndio kusema Bwana wetu Yesu Kristu ndio ndiye mtawala halali kabisa wa dunia hii?
kalenda tunayoitumia ilipangwa baada ya Yesu ambapo ilishapita miaka mingi, ilipangwa na Papa mmoja wa miaka fulani

walitumia reference ya kuzaliwa kristo kua ndo starting point ya callender

ila pia kuna error ndogo zilizoonyesha kujitokeza ukifuatilia vizuri,

injili ya luka inataja kua Yesu alizaliwa wakati wa sensa, sensa pia imerekodiwq kwenye vitabu vingine vya kihistoria tofauti na biblia ila haiendani na mwaka halisi kalenda ilipoanzia

injili ya mathew pia inasema yesu anapozaliwa ilionekana nyota ya mashariki iliowaongoza wanajimu, pia kutokana na astronomy hiyo nyota haikuonekana mwaka sawa na callender ilipoanzia

all in all imepishana kwa miaka takriban saba kutokana na error
 
Wakuu eti kuna ukweli hii miaka tuliyonayo sasa kwa mfano mwaka huu wa sasa yani 2024 ndio umri halali wa Bwana wetu Yesu Kristu (Neema na amani iwe juu yake!!).

Yaani miaka hii tuliyonayo ilianza kuhesabiwa mara tu baada ya kuzaliwa kwa masihi, Bwana wetu Yesu Kristu?

Je kuna ukweli? na kama ni kweli ni kwanini walisubiri hadi masihi azaliwe ndio waanze kuhesabu?

Je hiyo miaka ya nyuma kulikuwa na shida gani iliyofanya wasihesabu miaka hadi wasubiri kuzaliwa kwa masihi, asiye na waa la dhambi yeyote, mpalizwa mbinguni, Mwana wa mungu, Mwanga kwa Mwanga, Bwana wetu Yesu Kristu azaliwe?

Je hiyo ina maana gani au ndio kusema Bwana wetu Yesu Kristu ndio ndiye mtawala halali kabisa wa dunia hii?
Ilishajulikana hakuna uhakika wa kuzaliwa kwake ndio maana miaka siku hizi hakuna BC wala AD Kuna CE na BCE
 
walitumia reference ya kuzaliwa kristo kua ndo starting point ya callender

ila pia kuna error ndogo zilizoonyesha kujitokeza ukifuatilia vizuri,

injili ya luka inataja kua Yesu alizaliwa wakati wa sensa, sensa pia imerekodiwq kwenye vitabu vingine vya kihistoria tofauti na biblia ila haiendani na mwaka halisi kalenda ilipoanzia

injili ya mathew pia inasema yesu anapozaliwa ilionekana nyota ya mashariki iliowaongoza wanajimu, pia kutokana na astronomy hiyo nyota haikuonekana mwaka sawa na callender ilipoanzia

all in all imepishana kwa miaka takriban saba kutokana na error
tawire mkuu🤝🤝
 
tatizo la kushabikia simba na yanga hili. mambo yanayowazunguka hamna habari nayo.
Una uhakika na unachokiongea lakini?

Basi mwenyewe unaona umeleta bonge la mada! Hili swali hata mtoto wa Darasa la pili hawezi kuliuliza ndio maana nikakuuliza kama umepima Malaria? uko sawa?
 
Wakuu eti kuna ukweli hii miaka tuliyonayo sasa kwa mfano mwaka huu wa sasa yani 2024 ndio umri halali wa Bwana wetu Yesu Kristu (Neema na amani iwe juu yake!!).

Yaani miaka hii tuliyonayo ilianza kuhesabiwa mara tu baada ya kuzaliwa kwa masihi, Bwana wetu Yesu Kristu?

Je kuna ukweli? na kama ni kweli ni kwanini walisubiri hadi masihi azaliwe ndio waanze kuhesabu?

Je hiyo miaka ya nyuma kulikuwa na shida gani iliyofanya wasihesabu miaka hadi wasubiri kuzaliwa kwa masihi, asiye na waa la dhambi yeyote, mpalizwa mbinguni, Mwana wa mungu, Mwanga kwa Mwanga, Bwana wetu Yesu Kristu azaliwe?

Je hiyo ina maana gani au ndio kusema Bwana wetu Yesu Kristu ndio ndiye mtawala halali kabisa wa dunia hii?
Kwenye history huwa matukio yanaandikwa yalitokea miaka kadhaa kabla ya kuzaliwa Christ na mengine huandikwa yalitokea miaka kadhaa baada ya kuzaliwa Christ.
Mfano Qur'an iliandikwa miaka 600 baada ya kuzaliwa Christ.
Mungu ndo aliamua kufanya hesabu zake kuzingatia muda ataozaliwa mwanae wa pekee. Ilipofika mwaka 0 Yesu akazaliwa wakaanza kuhesabu kuanzia hapo.
 
Kwenye history huwa matukio yanaandikwa yalitokea miaka kadhaa kabla ya kuzaliwa Christ na mengine huandikwa yalitokea miaka kadhaa baada ya kuzaliwa Christ.
Mfano Qur'an iliandikwa miaka 600 baada ya kuzaliwa Christ.
Mungu ndo aliamua kufanya hesabu zake kuzingatia muda ataozaliwa mwanae wa pekee. Ilipofika mwaka 0 Yesu akazaliwa wakaanza kuhesabu kuanzia hapo.
ubarikiwe sana kiongozi kwa ufafanuzi 🤝🤝
 
Back
Top Bottom