Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Una uhakika mkuuKwenye history huwa matukio yanaandikwa yalitokea miaka kadhaa kabla ya kuzaliwa Christ na mengine huandikwa yalitokea miaka kadhaa baada ya kuzaliwa Christ.
Mfano Qur'an iliandikwa miaka 600 baada ya kuzaliwa Christ.
Mungu ndo aliamua kufanya hesabu zake kuzingatia muda ataozaliwa mwanae wa pekee. Ilipofika mwaka 0 Yesu akazaliwa wakaanza kuhesabu kuanzia hapo.