Hakuna dawa tamumaji ya moto hayana laza
Kwenye ya kuoga sijawahi sikia mkuu,kwahiyo sijui.Hata mimi pia nafahamu kuwa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi sana na laiti tungekuwa tunamazoea ya kuyanywa mara kwa mara tungepunguza folen mahospital![/QUOTE]
Tabrett, Hapo kwenye Blue ni kweli kabisa nakubaliana na wewe, Ila maji nayozungumzia ni ya kuogea sio ya kunywa!!
Mkuu Kobe Maji ya Uvuguvugu yanayofanana na chai iliyopoa ndio mazuri kwa kunywa kwa kila maradhi yanatibu.Ahsante mkuu yanatakiwa kupashwa moto kidogo yafanane kama chai iliyopoteza joto.?
Mkuu Tabrett Maji ya Uvuguvgu ya kunywa yana faida nyingi tu sana hongera kwa maneno yako.Hata mimi pia nafahamu kuwa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi sana na laiti tungekuwa tunamazoea ya kuyanywa mara kwa mara tungepunguza folen mahospital!
Mkuu Chemiker Maji ya Uvuguvugu ya kunywa sio Maji ya moto ya kuoga tafadhali usipotoshe watu lugha.Mkuu MziziMkavu , Maji ya uvuguvugu ya kuogea.
Hata mimi pia nafahamu kuwa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi sana na laiti tungekuwa tunamazoea ya kuyanywa mara kwa mara tungepunguza folen mahospital![/QUOTE]Chemiker Hatuzungmzii Maji ya moto ya kuoga tunachozungumzia Maji ya Uvuguvugu ya kunywa sio maji ya moto ya kuoga usipotoshe maneno.
Tabrett, Hapo kwenye Blue ni kweli kabisa nakubaliana na wewe, Ila maji nayozungumzia ni ya kuogea sio ya kunywa!!Mkuu.@Money stunna Tangu lini Dawa ikawa na Ladha nzuri? ukitaka ladha nzuri ya maji kunywa, kunywa maji ya baridi na ukita Dawa kunywa Maji ya Uvuguvugu.C[URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=50922" said:Money stunna[/URL];6814007]maji ya moto hayana laza
Mi nashauri mwarobaini!
Na habatil muluki!(hii utapata kwenye maduka ya waislamu)
Dawa balaa hizo!
Yaani inatibu magonjwa kama mvua!
Mkuu MziziMkavu , Maji ya uvuguvugu ya kuogea.
Binafsi maji ya moto nikiogea napata nafuu kubwa sana nikiwa nimechoka kupita kiasi. Hasa ile stress ya kazi inayosababisha maumivu ya mabega. Tena ikiwa natumianmaji ya mvua ndio nafuu kubwa yanaponiangukia mabegani. Inaweza kuwa sehemu ya matibabu especially kwa sababu matibabu ya stress kama ya kufiwa ni ya akili na mtazamo zaidi.
CHINESE MEDICINE STANDPOINT
The theory of Chinese Medicine and its Yin-
Yang philosophy states that you should drink
warm water, about the same temperature as
the body, because hot water and cold water
throw off the balance of your body,