Chemiker
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 506
- 108
Wasalaam,
Hivi majuzi nilikuwa nasikiliza mada iliyokuwa inatolewa na mtaaalamu mmoja wa saikolojia,
alikuwa anazungumzia suala la Msongo (stress). Msikilizaji mmoja akauliza, tangu baba yake afariki Dunia amekuwa hapati usingizi kabisa je ni mojawapo ya dalili za stress na tiba yake ni nini? .
Mtaalamu alijibu Ndiyo, ni moja ya dalili za stress ila Katika moja ya majibu aliyotoa mtaalamu huyu ni kuwa maji ya uvuguvugu( warm water) ni moja ya tiba za stress
Je, kuna ukweli katika hili kwamba maji ni tiba ya stress?:help:
Hivi majuzi nilikuwa nasikiliza mada iliyokuwa inatolewa na mtaaalamu mmoja wa saikolojia,
alikuwa anazungumzia suala la Msongo (stress). Msikilizaji mmoja akauliza, tangu baba yake afariki Dunia amekuwa hapati usingizi kabisa je ni mojawapo ya dalili za stress na tiba yake ni nini? .
Mtaalamu alijibu Ndiyo, ni moja ya dalili za stress ila Katika moja ya majibu aliyotoa mtaalamu huyu ni kuwa maji ya uvuguvugu( warm water) ni moja ya tiba za stress
Je, kuna ukweli katika hili kwamba maji ni tiba ya stress?:help: