Je, kuna ukweli wowote hapa wakuu

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Hivi Kuna Ukweli Kwamba. Ukiachana na Mtu hamna haja ya kurudiana Coz it won't work by 100%?
 
Yeah ni kweli kabisa haiwezekani kuwa kama zamani tena hasa kama mmeachana kwa visasi na dharau.
 
Sio 100% mapenzi hayana User guide wala instruction manual l mkuu

Kila mtu ni fundi and experienced kwenye mapenzi infact nobody knows shit about love... if ur lucky s.o. b then you’re lucky and if not ishakula kwako
 
Hapa naongelea mimi siwakilishi mwengine. Mimi nikisha achana na girlfriend wangu na kuwa ex. Ikiwa mkosa mimi au yeye kama namrudia sirudi kwa upendo(upendo kwangu ushaisha tukiachana) Bali narudi kwa kuichakata papuchi tu.😋
 
Inawezekana Sana mkarudiana na mahusiano yakawa mazuri Sana.....Ila itategemeana na sababu zilizo wafanya muachane,kama mliachana Kwa ubaya na dharau na vibweka kibao itakuwa ngumu Sana.

Lkn kama mliachana Kwa mambo ambayo ya kujirekebisha Tu Tabia ,hiyo inawezekana,mfano labda mmoja wenu alikuwa mtu wa wivu Sana lkn baadae akaja kugundua kuwa wivu wake Una mcost na akaamua kujirekebisha basi mkianza upya itakuwa vizur,au labda mahusiano yenu yalikuwa mabovu kutokana na long distance,pale mtakapo kuwa karibu mapenz yatendelea vizur,kifupi itategemea je mliachana vipi,kumbuka kila mtu anastahili nafasi ya pili.
 
Nishajarbu ila kilichotokea niseme tu ingekuwa kidogo yawe maafa...nlimbembeleza tukafanya kukutana na kuamua kuweka mambo sawa...dem kakir kwel nice memories tulizokuwa nazo before ndo zinamtesa na ilifkia stag akataka tu kuja geto kwa lazma... Ikatokea siku nkamwalika home akaja bila kinyongo......nipo nae room mara kapokea cm ya boya ake anaanza kumdanganya yupo chuon wanafanya disc....baada ya kukata simu ndo analeta habar za kuondoka na mida ishaenda sana...nliona kama ashanichukulia kama ndezi flan iv...nlimchezesha palepale kwenzi za kutosha afu nkamfungulia mlango akajiondokea mwenyew..,.huwa sipend mtu wa kucheza na hisia zangu frm that day ilifanya niweze kumsahau due nlikaa muda mrefu akiwa anaish kw kumbukumbu zangu
 
Ktk situation yako inaonyesha wewe ulikuwa tayar kuanza upya lkn yeye bado hakuwa tayar kuanza upya kwasababu alikuwa na mtu wake,ktk mazingira hayo lazima mkwame Tu,na umesema ulimbembeleza Sana,so hapo wewe ndo mtu pekee uliyetaka mrudiane na siyo yeye,na inaonyesha alikuhurumia ndio maana alikuja Tu lkn ndani ya nafsi hakuwa tayar kuwa na wewe tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…