Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Hivi Kuna Ukweli Kwamba. Ukiachana na Mtu hamna haja ya kurudiana Coz it won't work by 100%?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ktk situation yako inaonyesha wewe ulikuwa tayar kuanza upya lkn yeye bado hakuwa tayar kuanza upya kwasababu alikuwa na mtu wake,ktk mazingira hayo lazima mkwame Tu,na umesema ulimbembeleza Sana,so hapo wewe ndo mtu pekee uliyetaka mrudiane na siyo yeye,na inaonyesha alikuhurumia ndio maana alikuja Tu lkn ndani ya nafsi hakuwa tayar kuwa na wewe tena.Nishajarbu ila kilichotokea niseme tu ingekuwa kidogo yawe maafa...nlimbembeleza tukafanya kukutana na kuamua kuweka mambo sawa...dem kakir kwel nice memories tulizokuwa nazo before ndo zinamtesa na ilifkia stag akataka tu kuja geto kwa lazma... Ikatokea siku nkamwalika home akaja bila kinyongo......nipo nae room mara kapokea cm ya boya ake anaanza kumdanganya yupo chuon wanafanya disc....baada ya kukata simu ndo analeta habar za kuondoka na mida ishaenda sana...nliona kama ashanichukulia kama ndezi flan iv...nlimchezesha palepale kwenzi za kutosha afu nkamfungulia mlango akajiondokea mwenyew..,.huwa sipend mtu wa kucheza na hisia zangu frm that day ilifanya niweze kumsahau due nlikaa muda mrefu akiwa anaish kw kumbukumbu zangu