Je, kuna ukweli wowote?

Je, kuna ukweli wowote?

Nyamajiva

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
210
Reaction score
23
Kama kunamtu unaemfaham aliemaliza form6 kuanzia 2003 mpaka sasa masomo ya SAYANSI na kupata (S S S) yani (IV-18, au (SS) IV-19 wanaombwa kufika moja kwa moja chuo cha ualimu morogoro kwa mafunzo maalum ya kujiunga na diploma ya ualimu. Wajulishe wengine kwa maelezo zaidi wasiliana na mkuu wa chuo 0658180854.
 
Back
Top Bottom