Je, Kuna Umuhimu wa Kuandika Mchangamanuo/Mpango wa Biashara?


Kwi kwi kwiii angalia tu usije ukapata Ban maana naona umejisahau! You are the BOSS, mjadala utafungwa, umesikika!!
 
Failing to Plan is to plan to Fail...

Business Plan au plan yoyote ile sio lazima iwe imeandikwa sehemu (SWOT Analysis, Executive Summary n.k.) bali hata kichwani tu mtu akiwa na plan / vision ya kwamba tafanya A, B, C (tauza nyanya nikipata faida taongeza vitunguu nikipata faida taanzisha bustani) hata hio ni plan..

Lakini kutoa mapesa ili uandikiwe na mtu business plan wakati hio pesa huenda ingekusaidia kuongeza mtaji wa badala ya kuuza nyanya peke yake ukaongeza na vitunguu, itakuwa sio busara.., unless unataka kutumia hio plan kuonyesha investors / bank ili upate mkopo
 
Nimetazama majibu ya hii hoja jibu nimeliona kwako ndugu yangu. Swali lilikuwa je kuna umuhimu wa kuandika mchanganuo/mpango wa biashara? Jibu inategeme na mwenye biashara mwenyewe? Kama una fund ya kutosha to start a planned business then huitaji kuandika sababu vision na goal ya business inaweza kukaa kichwani mwako. Lakini kama huna fund ya kutosha to start a planned business then unahitaji kuandika mchanganuo ili ikusaidie kutembeza bakuli la msaada. Na hata yule aliye na mchanganuo wa biashara kichwani mwake lazima awe anafanya business planning at least mara nne kwa mwaka kujua mazingira yaliyokwenye biashara yake yanamekeaje? je malengo yake yatatatimia huko aendako? atafika kule anakotaka kufika? kuna mabadiliko yoyote yanahitajika kwa haraka? Nadhani huu ni mwongezeo wa SUN WU mnyambulisho wake. Ninahitimisha kwa kusema inategemea na mwenye biashara mwenyewe na funds basi mengine hayana umuhimu sana kwenye hili la kuandika.
 
 
KABLA YA KUANDAA BUSINESS PLAN, RESEARCH NI LAZIMA (PLANNING AND DESIGNING A BUSINESS IS A PROCESS). MIFANO YOTE MIWILI INAONYESHA KUWA BADO KUNA UMUHIMU WA BUSINESS PLAN. BAKHERESA NAONA ALIHITAJI KUPEWA RIPOTI YA WATAALAMU KUHUSU VIABILITY YA MRADI REGARDLESS ITS COST. ALIPOTAMBUA KWAMBA NI MRADI MZURI KIFAIDA AKAFANYA DECISION KWA KUWA BP NI KAMA DECISION MAKING TOOL FOR INVESTORS. HIVYO NAHISI WATAALAMU WALIPOPEWA KILE KIASI WAKAANZA KUIMPLEMENT KWA KUONGOZWA NA STUDY WALIYOFANYA (BP). KWA YULE AAMBAYE HAKUWA NA CAPITAL ILIBIDI ATEMBEZE BP YAKE ILI WADAU WATOE SAPOTI NA KUELEWA PRODUCT YAKE.

KIMI DEVELOPMENT CONSULTANCY SOLUTIONS
 
Hata kwa siye tunayetengeneza bp kwa wateja wetu, kinachotakiwa si kukopi bp za wengine, you have to brainstorm kwakuwa nature of business, owner, risk, mazingira, capital needed nk vinatofautiana kati ya business idea moja na nyingine. Lakini pia ieleweke kwamba business plan format is universal in some elements, so huko sio kukopi. Kwa sisi tuanjitahidi kuwa original especially kwa kufuata nature ya biashara, malengo, kufanya market research na pia sehemu kubwa kumshirikisha mteja ili aweze kutoa details zake, au tukishamaliza kuandika tunamwelekeza kipengele kwa kipengele.
 
Mzee Mengi alipomualika Mwalimu Nyerere katika uzinduzi wa maji ya Kilimanjaro alisema “Wewe Mengi ubepari unakupeleka pabaya. Unataka kuwauzia ndugu zako maji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…