Je Kuna Usahihi Wowote Wa Kisayansi Katika Hiki Anachokisema Huyu Malaika Kupitia Nabii?

Je Kuna Usahihi Wowote Wa Kisayansi Katika Hiki Anachokisema Huyu Malaika Kupitia Nabii?

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Wakuu niko najifunza kwa kusoma makala za hadithi za Sunnah za waislamu. Haya ni masimulizi ya mtume wao kwa watu wake wa karibu.

Lakini nimesoma Sahih Bukhari 3366 Book 60 Hadithi ya 4 (Link:- Hadithi hii hapa) nakutana na hiki kisa kama kinavyoonekana kwenye hii picha.


MISSED APPOINTMENT.png



Hapa ni tafsiri ya kipengele hicho cha hadithi kwa Kiswahili:

Wakati Abdullah bin Salam alipomsikia Mtume (ﷺ) akifika Madina, alikwenda kwake na kusema, "Nitakuuliza maswali matatu ambayo hakuna anayeweza kujua isipokuwa Mtume: Je, ni ishara gani ya kwanza ya Saa? Ni chakula gani cha kwanza kitakacholiwa na watu wa Pepo? Kwa nini mtoto anafanana na baba yake, na kwa nini anafanana na mjomba wake?" Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Jibrili amenijulisha majibu yao hivi punde." Abdullah alisema, "Yeye (yaani Jibrili), kati ya malaika wote, ni adui wa Wayahudi." Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Ishara ya kwanza ya Saa itakuwa moto utakaowakusanya watu kutoka mashariki hadi magharibi; chakula cha kwanza cha watu wa Pepo kitakuwa kinyama cha samaki (caudate lobe) ya ini la samaki. Kuhusu kufanana kwa mtoto na wazazi wake: Ikiwa mwanaume atashiriki ngono na mkewe na kutoa manii kwanza, mtoto atafanana na baba yake, na ikiwa mwanamke atatoa manii kwanza, mtoto atafanana na yeye." Wakati huo Abdullah bin Salam alisema, "Nashuhudia kwamba wewe ni Mtume wa Allah."

Kwa ufahamu wa kisayansi Mtoto anafanana na wazazi wake kutokana na mchanganyiko wa vinasaba kutoka kwa baba na mama, ambapo baadhi ya sifa huonekana kwa urahisi (dominant) na zingine zinahitaji mchanganyiko maalum wa vinasaba (recessive). Hivyo, mtoto atapata sifa za kimaumbile kutoka kwa wazazi wake, lakini si kila wakati atafanana moja kwa moja na mmoja wao. Hivvyo basi sababu ya kuwa wa kwanza kukojoa haijabainishwa kisayansi.

Je Kuna Usahihi Wowote Wa Kisayansa Unaoweza Kuthibitisha Hiki Anachokisema Huyu Malaika Wa Mungu?
 
Wakuu niko najifunza kwa kusoma makala za hadithi za Sunnah za waislamu. Haya ni masimulizi ya mtume wao kwa watu wake wa karibu.

Lakini nimesoma Sahih Bukhari 3366 Book 60 Hadithi ya 4 (Link:- Hadithi hii hapa) nakutana na hiki kisa kama kinavyoonekana kwenye hii picha.


View attachment 3212305


Hapa ni tafsiri ya kipengele hicho cha hadithi kwa Kiswahili:

Wakati Abdullah bin Salam alipomsikia Mtume (ﷺ) akifika Madina, alikwenda kwake na kusema, "Nitakuuliza maswali matatu ambayo hakuna anayeweza kujua isipokuwa Mtume: Je, ni ishara gani ya kwanza ya Saa? Ni chakula gani cha kwanza kitakacholiwa na watu wa Pepo? Kwa nini mtoto anafanana na baba yake, na kwa nini anafanana na mjomba wake?" Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Jibrili amenijulisha majibu yao hivi punde." Abdullah alisema, "Yeye (yaani Jibrili), kati ya malaika wote, ni adui wa Wayahudi." Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Ishara ya kwanza ya Saa itakuwa moto utakaowakusanya watu kutoka mashariki hadi magharibi; chakula cha kwanza cha watu wa Pepo kitakuwa kinyama cha samaki (caudate lobe) ya ini la samaki. Kuhusu kufanana kwa mtoto na wazazi wake: Ikiwa mwanaume atashiriki ngono na mkewe na kutoa manii kwanza, mtoto atafanana na baba yake, na ikiwa mwanamke atatoa manii kwanza, mtoto atafanana na yeye." Wakati huo Abdullah bin Salam alisema, "Nashuhudia kwamba wewe ni Mtume wa Allah."

Kwa ufahamu wa kisayansi Mtoto anafanana na wazazi wake kutokana na mchanganyiko wa vinasaba kutoka kwa baba na mama, ambapo baadhi ya sifa huonekana kwa urahisi (dominant) na zingine zinahitaji mchanganyiko maalum wa vinasaba (recessive). Hivyo, mtoto atapata sifa za kimaumbile kutoka kwa wazazi wake, lakini si kila wakati atafanana moja kwa moja na mmoja wao. Hivvyo basi sababu ya kuwa wa kwanza kukojoa haijabainishwa kisayansi.

Je Kuna Usahihi Wowote Wa Kisayansa Unaoweza Kuthibitisha Hiki Anachokisema Huyu Malaika Wa Mungu?
Kwanza kabisa kisayansi hakuna ushahidi wowote kwamba kuna malaika wala Mungu.
 
Sasa unataka sayansi ikupe prove katika religious issues.Science na religion ni discipline mbili tofauti we huoni unatumia akili zako vibaya?
 
Hadithi ni fasihi
Fasii ni sanaa sio sayansi
Acheni kudanganyika na stori za mtume
 
Wakuu niko najifunza kwa kusoma makala za hadithi za Sunnah za waislamu. Haya ni masimulizi ya mtume wao kwa watu wake wa karibu.

Lakini nimesoma Sahih Bukhari 3366 Book 60 Hadithi ya 4 (Link:- Hadithi hii hapa) nakutana na hiki kisa kama kinavyoonekana kwenye hii picha.


View attachment 3212305


Hapa ni tafsiri ya kipengele hicho cha hadithi kwa Kiswahili:

Wakati Abdullah bin Salam alipomsikia Mtume (ﷺ) akifika Madina, alikwenda kwake na kusema, "Nitakuuliza maswali matatu ambayo hakuna anayeweza kujua isipokuwa Mtume: Je, ni ishara gani ya kwanza ya Saa? Ni chakula gani cha kwanza kitakacholiwa na watu wa Pepo? Kwa nini mtoto anafanana na baba yake, na kwa nini anafanana na mjomba wake?" Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Jibrili amenijulisha majibu yao hivi punde." Abdullah alisema, "Yeye (yaani Jibrili), kati ya malaika wote, ni adui wa Wayahudi." Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Ishara ya kwanza ya Saa itakuwa moto utakaowakusanya watu kutoka mashariki hadi magharibi; chakula cha kwanza cha watu wa Pepo kitakuwa kinyama cha samaki (caudate lobe) ya ini la samaki. Kuhusu kufanana kwa mtoto na wazazi wake: Ikiwa mwanaume atashiriki ngono na mkewe na kutoa manii kwanza, mtoto atafanana na baba yake, na ikiwa mwanamke atatoa manii kwanza, mtoto atafanana na yeye." Wakati huo Abdullah bin Salam alisema, "Nashuhudia kwamba wewe ni Mtume wa Allah."

Kwa ufahamu wa kisayansi Mtoto anafanana na wazazi wake kutokana na mchanganyiko wa vinasaba kutoka kwa baba na mama, ambapo baadhi ya sifa huonekana kwa urahisi (dominant) na zingine zinahitaji mchanganyiko maalum wa vinasaba (recessive). Hivyo, mtoto atapata sifa za kimaumbile kutoka kwa wazazi wake, lakini si kila wakati atafanana moja kwa moja na mmoja wao. Hivvyo basi sababu ya kuwa wa kwanza kukojoa haijabainishwa kisayansi.

Je Kuna Usahihi Wowote Wa Kisayansa Unaoweza Kuthibitisha Hiki Anachokisema Huyu Malaika Wa Mungu?
Chukua hii as the point of interest,

"Science supports that the fastest sperm to reach the egg are more likely to make a male baby, and the slow sperm that take longer to reach the egg are more likely to make a female baby".

Then connect the dots unaweza kupata kitu hapo mkuu

“I stand to be corrected”
 
Wakuu niko najifunza kwa kusoma makala za hadithi za Sunnah za waislamu. Haya ni masimulizi ya mtume wao kwa watu wake wa karibu.

Lakini nimesoma Sahih Bukhari 3366 Book 60 Hadithi ya 4 (Link:- Hadithi hii hapa) nakutana na hiki kisa kama kinavyoonekana kwenye hii picha.


View attachment 3212305


Hapa ni tafsiri ya kipengele hicho cha hadithi kwa Kiswahili:

Wakati Abdullah bin Salam alipomsikia Mtume (ﷺ) akifika Madina, alikwenda kwake na kusema, "Nitakuuliza maswali matatu ambayo hakuna anayeweza kujua isipokuwa Mtume: Je, ni ishara gani ya kwanza ya Saa? Ni chakula gani cha kwanza kitakacholiwa na watu wa Pepo? Kwa nini mtoto anafanana na baba yake, na kwa nini anafanana na mjomba wake?" Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Jibrili amenijulisha majibu yao hivi punde." Abdullah alisema, "Yeye (yaani Jibrili), kati ya malaika wote, ni adui wa Wayahudi." Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Ishara ya kwanza ya Saa itakuwa moto utakaowakusanya watu kutoka mashariki hadi magharibi; chakula cha kwanza cha watu wa Pepo kitakuwa kinyama cha samaki (caudate lobe) ya ini la samaki. Kuhusu kufanana kwa mtoto na wazazi wake: Ikiwa mwanaume atashiriki ngono na mkewe na kutoa manii kwanza, mtoto atafanana na baba yake, na ikiwa mwanamke atatoa manii kwanza, mtoto atafanana na yeye." Wakati huo Abdullah bin Salam alisema, "Nashuhudia kwamba wewe ni Mtume wa Allah."

Kwa ufahamu wa kisayansi Mtoto anafanana na wazazi wake kutokana na mchanganyiko wa vinasaba kutoka kwa baba na mama, ambapo baadhi ya sifa huonekana kwa urahisi (dominant) na zingine zinahitaji mchanganyiko maalum wa vinasaba (recessive). Hivyo, mtoto atapata sifa za kimaumbile kutoka kwa wazazi wake, lakini si kila wakati atafanana moja kwa moja na mmoja wao. Hivvyo basi sababu ya kuwa wa kwanza kukojoa haijabainishwa kisayansi.

Je Kuna Usahihi Wowote Wa Kisayansa Unaoweza Kuthibitisha Hiki Anachokisema Huyu Malaika Wa Mungu?
Hii dini inawaza ngono ti 24/7
 
Wakuu niko najifunza kwa kusoma makala za hadithi za Sunnah za waislamu. Haya ni masimulizi ya mtume wao kwa watu wake wa karibu.

Lakini nimesoma Sahih Bukhari 3366 Book 60 Hadithi ya 4 (Link:- Hadithi hii hapa) nakutana na hiki kisa kama kinavyoonekana kwenye hii picha.


View attachment 3212305


Hapa ni tafsiri ya kipengele hicho cha hadithi kwa Kiswahili:

Wakati Abdullah bin Salam alipomsikia Mtume (ﷺ) akifika Madina, alikwenda kwake na kusema, "Nitakuuliza maswali matatu ambayo hakuna anayeweza kujua isipokuwa Mtume: Je, ni ishara gani ya kwanza ya Saa? Ni chakula gani cha kwanza kitakacholiwa na watu wa Pepo? Kwa nini mtoto anafanana na baba yake, na kwa nini anafanana na mjomba wake?" Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Jibrili amenijulisha majibu yao hivi punde." Abdullah alisema, "Yeye (yaani Jibrili), kati ya malaika wote, ni adui wa Wayahudi." Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Ishara ya kwanza ya Saa itakuwa moto utakaowakusanya watu kutoka mashariki hadi magharibi; chakula cha kwanza cha watu wa Pepo kitakuwa kinyama cha samaki (caudate lobe) ya ini la samaki. Kuhusu kufanana kwa mtoto na wazazi wake: Ikiwa mwanaume atashiriki ngono na mkewe na kutoa manii kwanza, mtoto atafanana na baba yake, na ikiwa mwanamke atatoa manii kwanza, mtoto atafanana na yeye." Wakati huo Abdullah bin Salam alisema, "Nashuhudia kwamba wewe ni Mtume wa Allah."

Kwa ufahamu wa kisayansi Mtoto anafanana na wazazi wake kutokana na mchanganyiko wa vinasaba kutoka kwa baba na mama, ambapo baadhi ya sifa huonekana kwa urahisi (dominant) na zingine zinahitaji mchanganyiko maalum wa vinasaba (recessive). Hivyo, mtoto atapata sifa za kimaumbile kutoka kwa wazazi wake, lakini si kila wakati atafanana moja kwa moja na mmoja wao. Hivvyo basi sababu ya kuwa wa kwanza kukojoa haijabainishwa kisayansi.

Je Kuna Usahihi Wowote Wa Kisayansa Unaoweza Kuthibitisha Hiki Anachokisema Huyu Malaika Wa Mungu?
Unataka ushahidi wa kisayansi kwenye mambo ya spiritual? Nazani huelewi maana ya sayansi
 
Mi nimeona hapo malaika Jiblill ndio malaika namba moja mwenye chuki zaidi na Wayahudi
 
Wakuu niko najifunza kwa kusoma makala za hadithi za Sunnah za waislamu. Haya ni masimulizi ya mtume wao kwa watu wake wa karibu.

Lakini nimesoma Sahih Bukhari 3366 Book 60 Hadithi ya 4 (Link:- Hadithi hii hapa) nakutana na hiki kisa kama kinavyoonekana kwenye hii picha.


View attachment 3212305


Hapa ni tafsiri ya kipengele hicho cha hadithi kwa Kiswahili:

Wakati Abdullah bin Salam alipomsikia Mtume (ﷺ) akifika Madina, alikwenda kwake na kusema, "Nitakuuliza maswali matatu ambayo hakuna anayeweza kujua isipokuwa Mtume: Je, ni ishara gani ya kwanza ya Saa? Ni chakula gani cha kwanza kitakacholiwa na watu wa Pepo? Kwa nini mtoto anafanana na baba yake, na kwa nini anafanana na mjomba wake?" Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Jibrili amenijulisha majibu yao hivi punde." Abdullah alisema, "Yeye (yaani Jibrili), kati ya malaika wote, ni adui wa Wayahudi." Mtume wa Allah (ﷺ) alisema, "Ishara ya kwanza ya Saa itakuwa moto utakaowakusanya watu kutoka mashariki hadi magharibi; chakula cha kwanza cha watu wa Pepo kitakuwa kinyama cha samaki (caudate lobe) ya ini la samaki. Kuhusu kufanana kwa mtoto na wazazi wake: Ikiwa mwanaume atashiriki ngono na mkewe na kutoa manii kwanza, mtoto atafanana na baba yake, na ikiwa mwanamke atatoa manii kwanza, mtoto atafanana na yeye." Wakati huo Abdullah bin Salam alisema, "Nashuhudia kwamba wewe ni Mtume wa Allah."

Kwa ufahamu wa kisayansi Mtoto anafanana na wazazi wake kutokana na mchanganyiko wa vinasaba kutoka kwa baba na mama, ambapo baadhi ya sifa huonekana kwa urahisi (dominant) na zingine zinahitaji mchanganyiko maalum wa vinasaba (recessive). Hivyo, mtoto atapata sifa za kimaumbile kutoka kwa wazazi wake, lakini si kila wakati atafanana moja kwa moja na mmoja wao. Hivvyo basi sababu ya kuwa wa kwanza kukojoa haijabainishwa kisayansi.

Je Kuna Usahihi Wowote Wa Kisayansa Unaoweza Kuthibitisha Hiki Anachokisema Huyu Malaika Wa Mungu?
Kuna vingi sayansi haijabainisha na vipo tunaamini vipo.

Sayansi haijasema roho ni Nini na hawaamini uwepo wake lakini wengi tunaamini ipo.

Kwahy hatuihitaji sayansi ithibitishe lolote, Kuna vingi vipo na wameshindwa kuthibitisha.
 
Back
Top Bottom