Je Kuna Usahihi Wowote Wa Kisayansi Katika Hiki Anachokisema Huyu Malaika Kupitia Nabii?

Je Kuna Usahihi Wowote Wa Kisayansi Katika Hiki Anachokisema Huyu Malaika Kupitia Nabii?

Ndio na hapo katafsiri sawa ilivyo, wewe ndo umegeuza. Angalia vzrii.
Mkuu mimi sio mtaalam sana wa lugha. Ila kuanzia kwenye kiinglish hadi tafsiri ya kiswahili hapo chini zote zinamaanisha Jiblill ni adui wa wayahudi.
Ila pia unaweza kuwa upo sawa maana maandishi ya mtume Mohamadi wanasoma kuanzia kulia kwenda kushoto.
 
Ukisoma Hadith za Mohamed vizuri ni kama comedy mbaya inayokuacha na mshangao badala ya kicheko.
 
Back
Top Bottom