Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusiandikie mate ingali wino upo, huyu mama anaongea vile tu kuridhisha wafadhili. Hamaanishi wala nini.....
Kwani vingapi huwa anabwabwaja na havina uhalisia/ havitendewi kazi??
Bado nina deni na wale wa ANAUPIGA MWINGI ndipo mambo mengine yatafuata.
Upande huo sijawahi kuwa na imani nao,iwe ni kauli ya nani wote ni walewale.Kufuatia mahojiano ya Mtukufu Rais Samia na BBC, ameweka wazi kuwa vyombo vya habari viko na uhuru wao kamili.
Mtukufu Rais amekwenda mbele zaidi akisema kesi ya Mh. Mbowe ni nafasi nzuri kwa mahakama zetu, kuionyesha dunia kuwa haki inatendeka.
Kwa rejea mbili hizi ni wazi kuwa Mtukufu Rais na wasaidizi wake hawana tatizo na mashuhuda kufika mahakamani, ikiwamo kuonyeshwa mubashara kwenye Runinga kwa yanayojiri.
Vyombo vya habari fursa hiyo kwenye shauri hili lenye maslahi makubwa na wengi.
Kwa hakika inapendeza sana maneno yanapoambatana na vitendo ili kuweza kuivunja mifupa iliyomshinda mzee fisi hapo awali.
Upande huo sijawahi kuwa na imani nao,iwe ni kauli ya nani wote ni walewale.
Acha ubwege
TBCCCM na CHANNEL 10?Sisi tuna deni na farasi mwenyewe. Kasema vyombo vya habari vina uhuru kamili.
Ijumaa tutakuwa "live" kutokea Kisutu.
Habari ndiyo hiyo.
Mkuu brazaj, dunia inatawaliwa na mifumo mbalimbali ya kisheria, kuna Anglophone, Francophone, American law, Sharia Law, etc.Kufuatia mahojiano ya Mtukufu Rais Samia na BBC, ameweka wazi kuwa vyombo vya habari viko na uhuru wao kamili.
Mtukufu Rais amekwenda mbele zaidi akisema kesi ya Mh. Mbowe ni nafasi nzuri kwa mahakama zetu, kuionyesha dunia kuwa haki inatendeka.
Kwa rejea mbili hizi ni wazi kuwa Mtukufu Rais na wasaidizi wake hawana tatizo na mashuhuda kufika mahakamani, ikiwamo kuonyeshwa mubashara kwenye Runinga kwa yanayojiri.
Vyombo vya habari fursa hiyo kwenye shauri hili lenye maslahi makubwa na wengi.
Kwa hakika inapendeza sana maneno yanapoambatana na vitendo ili kuweza kuivunja mifupa iliyomshinda mzee fisi hapo awali.
Majizi ya kura hayawezi kuthubutu kuonyesha kesi ya kubumba.Acha ubwege
Thubutu! Kwa hilo heri hata wale makaburu wa Afrika Kusini wakati wa kesi ya Nelson Mandela aliposhtakiwa kwa ugaidi mwaka 1963. Katika hiyo kesi iliyojulikana kama Rivona trial, dunia nzima ilifuatilia hiyo kesi lakini kwa huu utawala wetu huu usiojali Katiba inasema nini, hii itabaki kuwa ndoto tu.Kufuatia mahojiano ya Mtukufu Rais Samia na BBC, ameweka wazi kuwa vyombo vya habari viko na uhuru wao kamili.
Mtukufu Rais amekwenda mbele zaidi akisema kesi ya Mh. Mbowe ni nafasi nzuri kwa mahakama zetu, kuionyesha dunia kuwa haki inatendeka.
Kwa rejea mbili hizi ni wazi kuwa Mtukufu Rais na wasaidizi wake hawana tatizo na mashuhuda kufika mahakamani, ikiwamo kuonyeshwa mubashara kwenye Runinga kwa yanayojiri.
Vyombo vya habari fursa hiyo kwenye shauri hili lenye maslahi makubwa na wengi.
Kwa hakika inapendeza sana maneno yanapoambatana na vitendo ili kuweza kuivunja mifupa iliyomshinda mzee fisi hapo awali.
Unamuamini Mwenyekiti wa CCM aliyesema wananchi tumeikubali tozo?Kwanini kuwajibia?
Mwenyekiti wao kathibitisha uhuru kamili kwa wanahabari.
Mungu atupe nini?
Mkuu brazaj, dunia inatawaliwa na mifumo mbalimbali ya kisheria, kuna Anglophone, Francophone, American law, Sharia Law, etc.
Nchi zote zilizo tawaliwa na Muingereza zinafuata mfumo wa English Law, msingi Mkuu wa English Law ni "Innocent until proven guilt " yaani mtuhumiwa atahesabiwa hana hatia mpaka mahakama uthibitishe hatia kwa ushahidi usio tia shaka.
Kwenye kulitimiza hili, mahakama zote haziruhusu Camera kuingizwa mahakamani ili kuepuka kitu kiitwacho "media trial" . Hivyo hakuna live yoyote ya kesi yoyote Tanzania. Hata zile news za watuhumiwa wakiwa mahakamani is wrong na hili niliwahi kushauri
Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
Wanabodi, Tanzania ni nchi yenye katiba inayoendeshwa kwa misingi ya haki, the rule of law kwa kufuata misingi ya sheria, taratibu na kanuni. Kwenye kila jambo linatekelezwa kwa mujibu wa sheria taratibu na kanuni, mahakamani ni mahali pa kutoa haki, tunaomba usiruhusu vyumba na maeneo ya...www.jamiiforums.com
Kwenye Américan law, kesi kama ina Public interest inatangazwa live kama kesi ya OJ Simpson.
.P
TBCCCM na CHANNEL 10?
Unamuamini Mwenyekiti wa CCM aliyesema wananchi tumeikubali tozo?
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
Thubutu! Kwa hilo heri hata wale makaburu wa Afrika Kusini wakati wa kesi ya Nelson Mandela aliposhtakiwa kwa ugaidi mwaka 1963. Katika hiyo kesi iliyojulikana kama Rivona trial, dunia nzima ilifuatilia hiyo kesi lakini kwa huu utawala wetu huu usiojali Katiba inasema nini, hii itabaki kuwa ndoto tu.
Kufuatia mahojiano ya Mtukufu Rais Samia na BBC, ameweka wazi kuwa vyombo vya habari viko na uhuru wao kamili.
Mtukufu Rais amekwenda mbele zaidi akisema kesi ya Mh. Mbowe ni nafasi nzuri kwa mahakama zetu, kuionyesha dunia kuwa haki inatendeka...