Shuaibu yahaya
Member
- Jan 8, 2014
- 93
- 32
Naomba mnisaidie wakuu
nina rafiki yangu nime hitimu nae kidato cha IV mwaka 2013 ila kwa bahati mbaya hajapata ufaulu wa kuridhisha.matokeo yake haya apa
kisw~B
eng~C
Civ~D
Bio~D
Geo~D
Chem~E
Hist~E
B/math~F
Phis~F
Naomba ushauri wenu wakuu kama kuna uwezekano wa kuapply chuo cha ualim kwa hzo alama zake.
shukran.
nina rafiki yangu nime hitimu nae kidato cha IV mwaka 2013 ila kwa bahati mbaya hajapata ufaulu wa kuridhisha.matokeo yake haya apa
kisw~B
eng~C
Civ~D
Bio~D
Geo~D
Chem~E
Hist~E
B/math~F
Phis~F
Naomba ushauri wenu wakuu kama kuna uwezekano wa kuapply chuo cha ualim kwa hzo alama zake.
shukran.