Habarini wanaJF,
Moja kwa moja kwenye hoja.
Je, kuna uwezekano wa kuvipata hivi vitabu aidha softcopy au hardcopy kwa majina vinaitwa:
"TEMPTETATION AND OTHER STORIES" mwandishi anaitwa AGORO ANDURU
"YOUR ROOTS GRANDSON AND OTHER STORIES" mwandishi ni LAWI JOEL.
Ni vizuri sana yaani sana.
NAWASILISHA