kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Wataalam,
Naombeni jibu. Dem kashika mimba within 3 weeks akagundua kwamba anamimba na hakua tayar kuzaa, akatumia vidonge vya kutoa mimba.
Anasema dalili zilionyesha kwamba alianza kupata maumiv ya tumbo kama vile dawa zinafanya kazi.
Baada ya miez 4 aliugua tumbo sana, akaenda hospitali. Akapimwa na kuambiwa anayo mimba ya miez 4.
Je hii inawezekanaje? Na je kunao uwezekano wa kuzaa salama?
Naombeni jibu. Dem kashika mimba within 3 weeks akagundua kwamba anamimba na hakua tayar kuzaa, akatumia vidonge vya kutoa mimba.
Anasema dalili zilionyesha kwamba alianza kupata maumiv ya tumbo kama vile dawa zinafanya kazi.
Baada ya miez 4 aliugua tumbo sana, akaenda hospitali. Akapimwa na kuambiwa anayo mimba ya miez 4.
Je hii inawezekanaje? Na je kunao uwezekano wa kuzaa salama?