Je, kuna vigezo au sifa zipi kikanuni Kanali wa Jeshi anatakiwa awe navyo ili aweze kupandishwa cheo kuwa Brigedia Jenerali?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika hapo juu.

Kwa mujibu wa Kanuni za kijeshi Kanali anatakiwa awe na vigezo au sifa zipi ili kusudi apandishwe cheo na kuwa Brigedia Jenerali?

Je, inaweza kutokea akapandishwa cheo bila kuzingatia Kanuni hizo za kijeshi? Nasisitiza vigezo kwa mujibu wa Kanuni za kijeshi na siyo vinginevyo.

Niwatakie siku njema wapendwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…