P h a r a o h
JF-Expert Member
- Mar 25, 2024
- 785
- 1,413
uwezo wa wanyama kutambua pale majanga ya asili
yanapokaribia kutokea ni wakushangaza sana...
wengi tumewahi kusikia baadhi ya mambo kama vile tembo maeneo ya ufukweni walivyokimbilia kwenye miinuko muda mfupi kabla ya Tsunami,
Jinsi Mbwa wanavyoingiwa hofu na kubweka hovyo muda mfupi kabla ya Majanga ya asili,
Jinsi ndege wanavyo acha makazi yao na kuhama muda mfupi kabla ya Volkano kulipuka.
Je kuna sababu nyuma ya hilo au hutokea tuu ?.
Baadhi ya Matukio yaliyoweza kurekodiwa
Mwaka 2004 ilitokea Tsunami katika bahari ya Hindi,
Tsunami ni tetemeko la chini ya bahari ambalo husababisha maji ya bahari kuhama na kwenda kwenye maeneo ya karibu, husababisha madhara makubwa, kubeba magari, nyumba kuharibu miundombinu n.k
Thailand na Srilanka ni moja ya nchi zilizoathiriwa sana na Tsunami ya bahari ya Hindi,
nchi hizo hua kuna utalii wa tembo ambapo tembo hutumiwa kubeba watu kwenye fukwe za bahari kama utalii,
Masaa kadhaa kabla ya Tsunami, tembo walikataa kubeba watalii walionekana na hofu na walikua wanakimbilia kwenye sehemu za miinuko mbali na ufukwe.
kisa kingine:
Siku tano kabla ya tetemeko kubwa la china "Haicheng Earthquake" mbwa walikua hawapoi wanabweka mda wote hawataki kuingia ndani,
hicho kigezo kikafanya serikali itoe tahadhari kwa wananchi.
Tetemeko kubwa likapita ila pia wengi walichukua tahadhari kutokana na kilichoonyeshwa na mbwa hivyo watu wengi wakapona
hiyo ni baadhi tu ya mifano ambapo kabla ya majanga makubwa ya asili wanyama wamekua wakijihami,
nyoka wanatoka kwenye mashimo yao, vyura wanahama, samaki wanatapatapa, kabla ya majanga ya asili.
Mwaka jana, masaa kadhaa kabla ya maporomoko ya mlima Hanang' Manyara, wanyama walihama kutoka mlimani.
Sayansi Inasemaje ?, wanyama wanajua nini ambacho binadamu hatujui ?:
kwa miaka kadhaa wanasayansi wamekua na majibu mbalimbali kuhusiana na jambo hili,
wakieleza kwa theories mbalimbali kama vile
"wanyama wana uwezo mkubwa wa kutambua mabadiliko madogo kwenye mazingira aambayo huonekana kabla ya majanga makubwa kutokea"
Ni Imani au Ni Uhalisia ?: watu wa kale walielezeaje swala hili ?
uwezo wa wanyama kutambua hatari kabla haijatokea umeshuhudiwa tangu zamani zaidi ya mamia ya miaka iliyopita,
vitabu vya kale vya historia mfano vya wagiriki vilisha elezea tabia ya wanyama kabla ya kutokea majanga mbalimbali ya asili ya kipindi hiko nao waliamini kua wanyama wanatumwa na miungu kuleta ujumbe,
Je ulishawahi kusikia kuhusiana na tabia za wanyama mbalimbali, muda mfupi kabla ya majanga ya asili kama tetemeko volcano etc...
wanyama wanawezaje kugundua na kujihami kabla ?
binadamu pia ni mnyama lakini kwanini hana uwezo wa kugundua ?
yanapokaribia kutokea ni wakushangaza sana...
wengi tumewahi kusikia baadhi ya mambo kama vile tembo maeneo ya ufukweni walivyokimbilia kwenye miinuko muda mfupi kabla ya Tsunami,
Jinsi Mbwa wanavyoingiwa hofu na kubweka hovyo muda mfupi kabla ya Majanga ya asili,
Jinsi ndege wanavyo acha makazi yao na kuhama muda mfupi kabla ya Volkano kulipuka.
Je kuna sababu nyuma ya hilo au hutokea tuu ?.
Baadhi ya Matukio yaliyoweza kurekodiwa
Mwaka 2004 ilitokea Tsunami katika bahari ya Hindi,
Tsunami ni tetemeko la chini ya bahari ambalo husababisha maji ya bahari kuhama na kwenda kwenye maeneo ya karibu, husababisha madhara makubwa, kubeba magari, nyumba kuharibu miundombinu n.k
Thailand na Srilanka ni moja ya nchi zilizoathiriwa sana na Tsunami ya bahari ya Hindi,
nchi hizo hua kuna utalii wa tembo ambapo tembo hutumiwa kubeba watu kwenye fukwe za bahari kama utalii,
Masaa kadhaa kabla ya Tsunami, tembo walikataa kubeba watalii walionekana na hofu na walikua wanakimbilia kwenye sehemu za miinuko mbali na ufukwe.
kisa kingine:
Siku tano kabla ya tetemeko kubwa la china "Haicheng Earthquake" mbwa walikua hawapoi wanabweka mda wote hawataki kuingia ndani,
hicho kigezo kikafanya serikali itoe tahadhari kwa wananchi.
Tetemeko kubwa likapita ila pia wengi walichukua tahadhari kutokana na kilichoonyeshwa na mbwa hivyo watu wengi wakapona
hiyo ni baadhi tu ya mifano ambapo kabla ya majanga makubwa ya asili wanyama wamekua wakijihami,
nyoka wanatoka kwenye mashimo yao, vyura wanahama, samaki wanatapatapa, kabla ya majanga ya asili.
Mwaka jana, masaa kadhaa kabla ya maporomoko ya mlima Hanang' Manyara, wanyama walihama kutoka mlimani.
Sayansi Inasemaje ?, wanyama wanajua nini ambacho binadamu hatujui ?:
kwa miaka kadhaa wanasayansi wamekua na majibu mbalimbali kuhusiana na jambo hili,
wakieleza kwa theories mbalimbali kama vile
"wanyama wana uwezo mkubwa wa kutambua mabadiliko madogo kwenye mazingira aambayo huonekana kabla ya majanga makubwa kutokea"
Ni Imani au Ni Uhalisia ?: watu wa kale walielezeaje swala hili ?
uwezo wa wanyama kutambua hatari kabla haijatokea umeshuhudiwa tangu zamani zaidi ya mamia ya miaka iliyopita,
vitabu vya kale vya historia mfano vya wagiriki vilisha elezea tabia ya wanyama kabla ya kutokea majanga mbalimbali ya asili ya kipindi hiko nao waliamini kua wanyama wanatumwa na miungu kuleta ujumbe,
Je ulishawahi kusikia kuhusiana na tabia za wanyama mbalimbali, muda mfupi kabla ya majanga ya asili kama tetemeko volcano etc...
wanyama wanawezaje kugundua na kujihami kabla ?
binadamu pia ni mnyama lakini kwanini hana uwezo wa kugundua ?