tutaishi milele
Member
- Dec 26, 2015
- 68
- 46
Wakuu habari
Naomba kuuliza kama kuna mwanafunzi yeyote continuous kapata mkopo mpaka sasa maana kwa mujibu wa tangazo la HSLB wanadai kuwa wametoa mkopo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza hakuna sehemu wanawataja continuous.
Lakini vile vile katika tangazo lao wanasema wamefungua dirisha la rufaa kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza ambao hawajaridhika na kiwango cha mkopo maana yake kwa ambao hawajapata kabisa hawaruhisiwi ku. appel
Naomba kuuliza kama kuna mwanafunzi yeyote continuous kapata mkopo mpaka sasa maana kwa mujibu wa tangazo la HSLB wanadai kuwa wametoa mkopo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza hakuna sehemu wanawataja continuous.
Lakini vile vile katika tangazo lao wanasema wamefungua dirisha la rufaa kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza ambao hawajaridhika na kiwango cha mkopo maana yake kwa ambao hawajapata kabisa hawaruhisiwi ku. appel