Je kuna yeyote aliyeielewa hii picha

Je kuna yeyote aliyeielewa hii picha

ankai

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2017
Posts
3,282
Reaction score
4,251
Je kuna yeyote aliyeilewa hii picha
Screenshot_20190801-190610.jpg
 
Hii hawa jamaa sijui walikuwa wanawaza nini
 
Hiyo picha itakuwa ni wakati wa kampeni za uchaguzi uliokuja kumpa mamlaka Nelson Mandela ya kuwa Rais wa RSA. Baada ya Mandela kutoka gerezani na watawala kuondoa ubaguzi, ulizuka ugomvi na ubaguzi wa kikabila na mapigano kati yao na ni mzee Mandela aliyesuruhisha mgogoro huo.
 
Kuna kinaitwa kwenye ulinzi wa viongozi kinaitwa Diamond circle.

Wanajipanga kama almasi kumlindaa.
 
Hapo ndiyo utajua Sanduku la Kura uwa haliheshimiwi.

Kama una heshimu Sanduku la Kura ulinzi wote huo wa nini.

Alafu utawasikia tumepata ushindi wa Kishindo.
Mwisho wa siku ulinzi kama uko Afghanistan.
Kuna mtu amesema they are ready to strike nami nikamuuliza to strike who?
 
Back
Top Bottom