Je kunyolea magic powder kuna madhara?

Je kunyolea magic powder kuna madhara?

kivyako

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
14,340
Reaction score
12,055
Nimekuwa kama nina addiction ya kutumia magic powder kwa kunyolea maana inafanya kidevu kiteleze na haileti vipele, sasa nauliza kama kuna madhara yoyote kuitumia mara kwa mara, na kama yapo ni alternative ipi naweza kufanya kunyoa ndevu? Maana viwembe vinaniletea vipele
Asanteni
 
Back
Top Bottom