Je, kuongea na kujijibu peke yako ni tatizo? Linasababishwa na nini?

Je, kuongea na kujijibu peke yako ni tatizo? Linasababishwa na nini?

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
Unakuta kapigiwa simu ilipokata akaanza mjadala wa kuuliza na kujibu maswali huku akiwa peke yake na hata kucheka atacheka.

Au amedhulumiwa kitu ataanza kuongea peke yake mpaka ataweka hitimisho

Pengine kuna speech kesho yake usiku ataanza kuongea peke yake tena kwa vitendo hadi style ya kusimama au kucheka atazifanya.

Itokee meeting maalumu iwe kabla au baada ya meeting utakuta anaongea peke yake tena kwa vitendo na hitimisho kabisa.

Ukibahatika ukamkamata akifanya hivo anakuwa mkali sana.

Swali: Hawa watu huwa wanatatizo gani? Nini kinawasibu kwenye ubongo wao?
 
Huwa wanawaza kwasauti. Yaani kichwani anafikiria jambo alifanye au asifanye. Wakati anawaza kwamba nikifanya itakua hivi na ili liwe safi nifanye hivi au vele na nisipofanya itakua vile na mdomo unaongea na vitendo vinaoneshwa.

Mfano simu ikikatwa. Anawaza kwa sauti "huyu mpumbavu yaani hajawahi kupiga yeye ni kubip tu ananikera kinyama" wakati anawaza anaongea na kukunja ndita.
 
Hio ishantokea mara kadhaa hasa nikiwa frastuated. Bibie huwa ananishangaa sana ila namwambia ni mawazo tu.
 
Unakuta kapigiwa simu ilipokata akaanza mjadala wa kuuliza na kujibu maswali huku akiwa peke yake na hata kucheka atacheka.

Au amedhulumiwa kitu ataanza kuongea peke yake mpaka ataweka hitimisho

Pengine kuna speech kesho yake usiku ataanza kuongea peke yake tena kwa vitendo hadi style ya kusimama au kucheka atazifanya.

Itokee meeting maalumu iwe kabla au baada ya meeting utakuta anaongea peke yake tena kwa vitendo na hitimisho kabisa.

Ukibahatika ukamkamata akifanya hivo anakuwa mkali sana.

Swali: Hawa watu huwa wanatatizo gani? Nini kinawasibu kwenye ubongo wao?
Wengine ni maandalizi ya tukio mfano jinsi atakavyo pitch wazo lake mbele ya hao wawekezaji.
Wengine ni 9 lb Hammer
 
hii inatokea sana saa nyingine huwa nazuga na earphones kama naongea na simu.
 
Kuna watu wanafikiri kwa kuongea na hivyo kunamfanya kuwa comfortable zaidi haswa kwa hao wanaoplani chakuongea ni Kama vile anajadili na mtu mwengine kwamba atafanya nini na kivipi!.. so sidhani Kama ni tatizo isipokuwa mhusika anaongea kitu Cha kueleweka na sio Mara karukia mada hii tena kahama hapo kazungumzia kitu chengine hata hakihusiani.. hapo Anza kujua tatu kasoro robo..😂

So ukiona mtu anajadili peke yake muache tena Kama unaweza ondoka hilo eneo uumpe uwanda zaidi maana hapo ni Kama anajichaji so anaweza chukia uwepo wako japo hatakuambia.. but yakupasa kuwaelewa watu wa namna hiyo.. wana muda wa kukaa peke yao ili waongee wenyewe na pia Kuna muda atakaa nawe na utamfurahia tu.
 
Aina ya sessions ambayo kila mwanadamu anaihitaji,
Nikiona jambo linanichemsha akili natafuta sehemu ya pekeangu au natembea tembea huku nikilitatua jambo langu kwa self discussion mpaka napata jibu then nakiwa OK kurudi in public.


Wasaa wa pekeako pia ni wasaa bora kabisa, muhimu usiwe na nia mbaya tu kama kujimaliza.
Unakuta kapigiwa simu ilipokata akaanza mjadala wa kuuliza na kujibu maswali huku akiwa peke yake na hata kucheka atacheka.

Au amedhulumiwa kitu ataanza kuongea peke yake mpaka ataweka hitimisho

Pengine kuna speech kesho yake usiku ataanza kuongea peke yake tena kwa vitendo hadi style ya kusimama au kucheka atazifanya.

Itokee meeting maalumu iwe kabla au baada ya meeting utakuta anaongea peke yake tena kwa vitendo na hitimisho kabisa.

Ukibahatika ukamkamata akifanya hivo anakuwa mkali sana.

Swali: Hawa watu huwa wanatatizo gani? Nini kinawasibu kwenye ubongo wao?
 
Kuna kuongea peke yako kwa aina nyingi;
1. Una presentation au interview mbeleni. Kuongea peke yako ni sehemu ya kujiandaa na hukufanya ujiamini na kujikontro mbele ya hadhara
2. Kuongea kwa kuchanganya mambo like you're in a conversation with someone in the phone. Hii huwatokea watu wengi ili kuwapoteza waliokaribu nae wasimgasi au kujua kuwa yuko busy na haitaji disturbance kwa mida huo, na mara nyingi hisisitiza hilo jambo wakati anaongea lakini ujumbe ukiwalenga waliomzunguka
Pia hii huweza kutokea pale anapojaribu kuwahadaa waliomzunguka akiwaaminisha kuwa yuko busy na jambo yakwamba hafuatilii kinachoendelea mahala hapo.
3. Kuongea kwa kuchanganyikiwa. Mtu wa aina hii ni rahisi kumgundua; huchanganya habari na kurudiarudia jambo, na muda mwingine kukosa utulivu wa kimwili.
Yote juu ya yote kuna umuhimu katika kuongea peke yako kwakuutengenezea mazingira jambo husika wakati wa sasa na kulitafutia suluhisho au usahihi litakapokujia.
 
Unakuta kapigiwa simu ilipokata akaanza mjadala wa kuuliza na kujibu maswali huku akiwa peke yake na hata kucheka atacheka.

Au amedhulumiwa kitu ataanza kuongea peke yake mpaka ataweka hitimisho

Pengine kuna speech kesho yake usiku ataanza kuongea peke yake tena kwa vitendo hadi style ya kusimama au kucheka atazifanya.

Itokee meeting maalumu iwe kabla au baada ya meeting utakuta anaongea peke yake tena kwa vitendo na hitimisho kabisa.

Ukibahatika ukamkamata akifanya hivo anakuwa mkali sana.

Swali: Hawa watu huwa wanatatizo gani? Nini kinawasibu kwenye ubongo wao?

Je! Wajua self healing ni njema zaidi!?

Physiology treatment ni muhimu mno kwa MwanaAdam!!

Kutema nyongo ni sehemu za maumbile ili uweze kupona!!

Wataalamu wa ushauri kibnAdam ni watu muhimu mno mno!!
 
Back
Top Bottom