T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Hili tatizo sana kwangu. Kwanza utotoni niliishi bila watoto wa kucheza nao hivo nikakomaa na mambo ya kiutu uzima.
Sikukaa na wazazi wangu hivo sikuweza kuwa na uhuru wa kujieleza. Mwishowe vitabu, Internet na TV ndo vikawa kimbilio langu. Nikawa naongea na kujijibu mwenyewe, nikiona kitu nakijadili na kutoa jibu. Hadi sasa hizi tabia hazijaisha.
Sikukaa na wazazi wangu hivo sikuweza kuwa na uhuru wa kujieleza. Mwishowe vitabu, Internet na TV ndo vikawa kimbilio langu. Nikawa naongea na kujijibu mwenyewe, nikiona kitu nakijadili na kutoa jibu. Hadi sasa hizi tabia hazijaisha.