Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
What next?Magufuli ndiye Rais fisadi Papa bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi wake.
Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.
Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.
View attachment 2058758View attachment 2058759View attachment 2058762View attachment 2058764
Sasa tukimchafua hayati ndio na sisi tutapaa kisiasa?Utawala Wa JPM haukuwa rafiki kwa jamii nzima wakiwemo Wafanyabiashara wakubwa. Kwa hiyo si wapinzani tu wanaousema utawala huo, wapo Wafanyabiashara, wafanyakazi Wa umma, CCM asilia n.k n.k
Wewe ni mataga, msiyempanda kaja.Kama kuna busara ya kisiasa tunakatakiwa kuwa nayo wapimzani ni hiki kipindi ambacho wapinzani wanapayuka hovyo kumchafua hayati JPM. JPM is gone na kila mtanzania anafahamu juu ya utawala wake. Kama alifanya mema basi atahukiwa na Mungu na wananchi wanayo nafasi ya kujua mabaya na mazuri yake.
Sasa sisi kama wapinzani tunatakiwa kupambana na hayati JPM au Ccm hii ya mama Samia.
Je tukikomaa kumchafua hayati JPM ndio tutafanikiwa kisiasa?
Nawakilisha mimi Kamanda Asiyechoka.
Ni wananchi waathirika wanajatibu kuonesha maumivu yao....Maana yake ni kwamba uchaguzi ungeitishwa leo ukiwa huru na haki hicho chama ambaye kiongozi wake alionea watu lazima kiwe nje ya ulingo.Sasa tukimchafua hayati ndio na sisi tutapaa kisiasa?
Tuko pamoja ndugu yangu.Naunga mkono!
Kawaulize maccm wenzakoKama kuna busara ya kisiasa tunakatakiwa kuwa nayo wapimzani ni hiki kipindi ambacho wapinzani wanapayuka hovyo kumchafua hayati JPM. JPM is gone na kila mtanzania anafahamu juu ya utawala wake. Kama alifanya mema basi atahukiwa na Mungu na wananchi wanayo nafasi ya kujua mabaya na mazuri yake.
Sasa sisi kama wapinzani tunatakiwa kupambana na hayati JPM au Ccm hii ya mama Samia.
Je tukikomaa kumchafua hayati JPM ndio tutafanikiwa kisiasa?
Nawakilisha mimi Kamanda Asiyechoka.
Tumia akili kabla ya kujambaWewe ni mataga, msiyempanda kaja.
Jikite kwenye madaKawaulize maccm wenzako
Upo na machawa wenzakoTuko pamoja ndugu yangu.
Hujawahi kuwa na madaJikite kwenye mada
Sisi sote ni ndugu, tofauti ya vyama sio ishu.Upo na machawa wenzako
Hatuna mpango na machawa kama weweSisi sote ni ndugu, tofauti ya vyama sio ishu.