Ahsante Senetor. Ila kuna jamaa yangu alikuwa anasoma Land Valuation hapo ARDHI, baada ya kuona kuna dalili ya ku-disco, akaomba chuo kupitia TCU na akapata Sociology - UDSM na mambo yapo poa. Hii vp?
teh teh teh umenifurahisha coz lmv ndo course yangu bt asingeacha,kimsing atakuwa alilipa asilimia 25 ya ada aliyolipiwa na bodi ya mkopo hivyo inamuwezesha kulipiwa tena na bodi.