Mrembo mmoja alitupita alipofika mbele ghafla alirejea kutuuliza tukaanza kubweka kama mbwa bila kumpatia jibu aliondoka kwa huzuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba umewapita raia kavu kavu hafu ukapotea njia unarud kuuliza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utajua hujui , kwa upande wangu siwezi kurudi nyuma kabisa [emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Mrembo mmoja alitupita alipofika mbele ghafla alirejea kutuuliza tukaanza kubweka kama mbwa bila kumpatia jibu aliondoka kwa huzuni
HahhahahaMrembo mmoja alitupita alipofika mbele ghafla alirejea kutuuliza tukaanza kubweka kama mbwa bila kumpatia jibu aliondoka kwa huzuni
Kwel hata mimi nyuma sirud..nakomaa hivyo hivyo kama nazid kupotea πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba umewapita raia kavu kavu hafu ukapotea njia unarud kuuliza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utajua hujui , kwa upande wangu siwezi kurudi nyuma kabisa [emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi mwenyew nawazaga siku nikiwa na gari sijui itakuaje..maana navyojua kusalimia napotoka home mpka kufika barabaran ni kama wananzengo 8 hiv ...sasa sijui kila sehemu nasimamisha gari au???[emoji23][emoji23] itakua adhabu sana.....BASI GARI SINUNui