Je, kushikwa kwa Mbowe Mwanza IGP alimpa amri RPC? Je, IGP alipewa amri na Rais?

Je, kushikwa kwa Mbowe Mwanza IGP alimpa amri RPC? Je, IGP alipewa amri na Rais?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Suala la Mbowe kukamatwa limezua maswali yasiyo na majibu.

Watu wengine wanasema Rais hahusiki kwa namna yoyote hivyo kaviacha vyombo vya dola huru vifanye kazi yake pasi kuviingilia.
Wengine wanasema Rais kahusika kwa 100%.

Je, Rais kahusika?
RPC hawezi kufanya arresting direct. Askari au maafisa wadogo ndio hufanya arresting ya watuhumiwa.

Je, kwa cheo na nafasi ya Mbowe Tanzania Askari au afisa mdogo wa jeshi la polisi anaweza kumshika pasi kupewa amri na RPC?
Jibu ni hapana.

Je, RPC anaweza kumshika Mbowe bila ruhusa ya IGP? Jibu ni hapana.

Ok, hapa tunapata jibu kuwa IGP kahusika katika suala zima la kumweka Mbowe chini ya ulinzi.

Je, IGP anaweza kumshika Mbowe bila idhini ya Rais wa JMT?

Jibu ni ndio anaweza au hawezi itategemea na mazingira.

Sasa uhusika wa Rais Samia katika suala zima la kumshika Mbowe unaweza kuonekana ndani ya masaa 24 baada ya kushikwa Mbowe.
Kwa cheo cha Mbowe na mfumo wa vyama vingi tulionao kama Rais Samia asingeridhia kushikwa kwake basi angeamuru aachiwe mara moja. Hapa simaanishi kuwa Mbowe kwamba yuko juu ya sheria na hawezi kukaa selo au kufungwa. Hapana.

Tunaangalia mazingira aliyoshikwa. Mbowe alikwenda Mwanza kupigania katiba mpya ambayo Rais ameiweka kapuni mpaka atakapoamua yeye.

Kama issue ni ugaidj kwanini hajashikwa Dar es Salaam?

Au viashiria vya ugaidi wa Mbowe vimeonekana ndani ya siku moja tu na uamuzi wa kumshika ulifanyika haraka ili asilete madhara?.
 
Kwani majukumu la jeshi la polisi Tanzania ni yepi?
 
Wacheni vyombo vya dola vifanye kazi, maana kwenye uongo ukweli hujitenga
 
NENO GAIDI
Hawezi MTU yeyote kutangaza bila Amiri jeshi mkuu kutoa idhini.
UGAIDI ni mtandao wa hatari kitaifa na kimataifa.
Tusichukulie poa.
Pande zote mbili kuna madhara.
 
Muhimu; HAKI itendeke
Tutakufa
Tutafufuliwa
Tutahesabiwa
Haladu tutakwenda kwenye maisha ya milele
Kama Freeman ni gaidi ahukumiwe kwa hilo kosa
 
NENO GAIDI
Hawezi MTU yeyote kutangaza bila Amiri jeshi mkuu kutoa idhini.
UGAIDI ni mtandao wa hatari kitaifa na kimataifa.
Tusichukulie poa.
Pande zote mbili kuna madhara.
Kuna majitu masenge kweli , Yani kila kitu yanajitahdi kuonyesha kuwa Raisi hahusiki ....!!
 
Wakuu wa Majeshi ya ulinzi ndo wanaongoza nchi hii hasa kwa Kumtishia maisha Mama Samia Suluhu Hassan
1.Inspector General of police(IGP)
- Simon Sirro
2.Commander of defence force(CDF)
- Venance Mabeyo
Hii ni legacy ya Magufuli
 
Habari!
Suala la Mbowe kukamatwa limezua maswali yasiyo na majibu.
Watu wengine wanasema Rais hahusiki kwa namna yoyote hivyo kaviacha vyombo vya dola huru vifanye kazi yake pasi kuviingilia.
Wengine wanasema Rais kahusika kwa 100%.
Je, Rais kahusika?
RPC hawezi kufanya arresting direct. Askari au maafisa wadogo ndio hufanya arresting ya watuhumiwa.
Je, kwa cheo na nafasi ya Mbowe Tanzania Askari au afisa mdogo wa jeshi la polisi anaweza kumshika pasi kupewa amri na RPC?
Jibu ni hapana.
Je, RPC anaweza kumshika Mbowe bila ruhusa ya IGP?
Jibu ni hapana.
Ok, hapa tunapata jibu kuwa IGP kahusika katika suala zima la kumweka Mbowe chini ya ulinzi.
Je, IGP anaweza kumshika Mbowe bila idhini ya Rais wa JMT?
Jibu ni ndio anaweza au hawezi itategemea na mazingira.
Sasa uhusika wa Rais Samia katika suala zima la kumshika Mbowe unaweza kuonekana ndani ya masaa 24 baada ya kushikwa Mbowe.
Kwa cheo cha Mbowe na mfumo wa vyama vingi tulionao kama Rais Samia asingeridhia kushikwa kwake basi angeamuru aachiwe mara moja. Hapa simaanishi kuwa Mbowe kwamba yuko juu ya sheria na hawezi kukaa selo au kufungwa. Hapana.
Tunaangalia mazingira aliyoshikwa. Mbowe alikwenda Mwanza kupigania katiba mpya ambayo Rais ameiweka kapuni mpaka atakapoamua yeye.
Kama issue ni ugaidj kwanini hajashikwa Dar es salaam?
Au viashiria vya ugaidi wa Mbowe vimeonekana ndani ya siku moja tu na uamuzi wa kumshika ulifanyika haraka ili asilete madhara?.
Ichi hii ina bahati mbaya ya kuwania viongozi wa hovyo
 
Morning... Je Kuna faida yeyote kwa serikali kumkamata Freeman Mbowe

Na Kama hakuna kuna hasara yeyote kwa Raisi Samia na serikali yake kumkamata Mbowe na kumpa kesi ya ugaidi.
Karibu
 
Kuna mdada kapita hapa kijiweni kajifunga kanga imeandikwa CHOKOCHOKO MCHOKONOE PWEZA BINADAMU HUTAMUWEZA. Naona kama hili bango la kanga linazifaa pande zote mbili.
 
Morning... Je Kuna faida yeyote kwa serikali kumkamata Freeman Mbowe

Na Kama hakuna kuna hasara yeyote kwa Raisi Samia na serikali yake kumkamata Mbowe na kumpa kesi ya ugaidi.
Karibu
Wapinzani wameongezeka na elimu ya uhitaji wa katiba mpya imeenda kwa kasi ya 100GB bila gharama kubwa yawana makongamano.
Bi Mkola kapunguziwa tabasamu ndani na Nje.
 
Back
Top Bottom