Je, kutoa takwimu za watu waliokufa kwa matatizo ya kupumua wakati wewe siyo Waziri wa afya inaruhusiwa kisheria?

Adhabu hutolewa kwa kufuata vifungu vya sheria, hapo mtatumia kifungu gani cha sheria?
 
Adhamu hutolewa kwa kufuata vifungu vya sheria, hapo mtatumia kifungu gani cha sheria?
Ungeelewa nichokiandika usingeuliza swali hili. Nilichokiandika kimeonyesha wazi udhaifu wa sheria zenu, maana yake kinyume chake ni ukweli.

Sasa turudi hapa, unamaanisha sheria zenu zinazotungwa bungeni au sheria zipi ?
 
Kusema ni mtu fulani tu ndiye anaweza kutoa takwimu za ugonjwa au vifo, ni upumbavu.

Mtu yeyote mkuu wa taasisi yeyote ana haki ya kutoa takwimu ya wagonjwa, vifo, ajali. Kwa watu wanaojua uongozi, wanafahamu kuwa jukumu la kwanza ni kiongozi yeyote ni usalama wa watu wake.

Kupiga marufuku ovyo ovyo ni ushamba na ulimbukeni wa madaraka. Marufuku za namna hiyo, watu wazipuuze, na wanaozitoa, wawadharau kama tunavyowadharau wendawazimu. Kuwa waziri au kiongozi mwingine yeyote haina maana umepewa haki kuwaondolea watu wengine utashi na akili.
 
Tanzania imeficha wee ugonjwa wa Covid-19 hadi sasa wanaumbuka. Yaani mimi ndugu yangu amefariki kwa Corona eti nisiseme eti mpaka aseme rais, hii sasa ni zaidi ya udikteta sijui inaweza ikaitwaje.
 
Ni mmoja wa watunga sheria kwani ,mbona na wewe unahoji.
 
Mpaka umpoteze mtu wako wa karibu ndio akili itakua vizuri kwa sasa huwezi kuelewa
 
Kwa nini siku hizi neno korona halitajwi badala yake tunasema magonjwa ya kupumua?
 
Sheria za kipumbavu zisipewe nafasi.unapokataa kutoa data za waliombukizwa na wanaokufa kwa covid unawezaje kuwa na strategy ya kuzuia corona.? Tusilete uswahili kwenye science.

CCM inaliangamiza taifa.the time will come mtawajibika.pumbavuuu
 
Kumbe we mpuuzi sana.
 
Hebu tuwekee hiyo sheria Bwashee na pia utuambie Bunge la awamu ya ngapi lilipitisha hiyo sheria?
 
Akina padri?
 
Ukikaa ukatafakari kwa makini utabaini kwamba ngome ya rome na ukatoliki unanguvu kuliko serikali ya jiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…