ACADEMIA TODAY
Senior Member
- Jun 7, 2013
- 179
- 86
Inategemea na vyakula unavyompa, ukitaka afungue njia jaribu kumpa mayai ya kuchemsha, matunda ya mzeituni, makande, hapo asipojamba basi atakuwa mgonjwa wahi hospital. Kama upo DSM Dk Massawe wa Muhimbili anasaidia sana watoto.