Je, kutolewa kwa Yanga wameonyesha fair play kwenye kombe la mapinduzi?

Sema tujipange Zaid mkuu
 
Kuna namna nyingi za kujifariji baada ya kufurushwa kwenye kombe lililozungushwa mji mima mwaka jana. Namna mojawapo ni hii, na nyingine ni kujifanya upo bize na AFCON [emoji23]
Huo ni ukweli mzee........Hawa Simba hawachelew kulia kuhusu Fair play
 
huyu jamaa ni yanga ila naona ameingia kwa bahati mbaya siku zote anajibu kwa hoja hajawahi kutukana
Yanga ni smart in thinking

huwezi ona mashabiki wa yanga wanakurupuka ....mfano. Mwigulu kwenye wizara ya fedha .....yuko very creative
 
Lkn msimu huu sahauni Kama yanga anaweza kuacha point hata moja
 
Yanga ni smart in thinking. huwezi ona mashabiki wa yanga wanakurupuka ....mfano. Mwigulu kwenye wizara ya fedha .....yuko very creative
Mfano kwenye tozo za miamala ya simu, aka tozo ya uzalendo, ambayo baada ya muda mfupi tu ikaonekana haifai na kubadilishwa viwango!
 
umeongea point sana mtaani
pole kwa tukio la jana bao tisa sio haba
 
umeongea point sana mtaani
pole kwa tukio la jana bao tisa sio haba
Wametuzidi bao moja tu mkuu. Ila kiukweli kitendo cha wachezaji waliokuwa batani kufungashwa kwenye boat kucheza mpira wakati hawana match fitness ni Mungu tu kajua ya mbeleni katunusuru. Bora utolewe na Azam kuliko maumivu ya kufungwa na mtani wako magoli 2+
 
pole sana mtani uko very positive
 
Bora simba wanachangia uwanja ila yanga wana changishana hela za ku chat WhatsApp na hamsemi mpo kimyaa tu.
Uwanja utajengwa mkuu....but sio kwa kuchangishwa
 
Azam anashika nafasi ya ngapi beashee [emoji1787][emoji1787]
Mkuu.....asa Azam una wafananisha na Hawa wala panya kweli (namungo)[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mfano kwenye tozo za miamala ya simu, aka tozo ya uzalendo, ambayo baada ya muda mfupi tu ikaonekana haifai na kubadilishwa viwango!
Hapana mkuu.....ilikuwa tu janja janja ......baada ya kuona wamevuna kiasi
 
Unamaanisha hawezi kuacha point zipi mkuu maana hadi saizi katika game 11 kashaacha point 2, we unaongelea point zipi ambazo haachi ata Moja?
Kupoteza gemu mkuu
 
Kwani ile kauli ya Manara ya kusema mtachukua vikombe vyote ilikuwa inamaana vikombe vipi? La Mapinduzi sio kombe?
Mapinduzi ....ile ni Bonanza ....sio kombe mkuu.....kombe gani linachezwa ndan ya siku tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…