Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mpira unaweza kuwa benchi zuri la ufundi na ukawa na wachezaji walio na kiwango lakini mkashindwa kufikia kwenye malengo kwasababu ya management. Unajua kabla ya msimu kuanza lazima kuweko na malengo ya msimu ni yapi kisha tunafanyaje kufikia malengo yetu. Hayo yote yanatakiwa yawe yamepangwa hivyo timu inatembea katika daraja moja ili kufikia malengo.Hivi wachezaji wanapewa likizo na ligi haijaisha kwanini?
Halafu ni bora hawa kina bangala wasingerudi kabisa walipaswa wamalizie hawa wa mwanzo kina makambo tu.
Kituko zaidi ni lile la kumtoa mshery na kumuingiza johora ambaye hajawahi kucheza mechi hata moja..!
Huu uongozi ni wa kipopoma kweli na nabi anapewa likizo ligi hata haijaisha kweli?
Tulistahili kufungwa ndani ya 90 mins kilichosaidia ni ubora wa mwamnyeto na wenzie pamoja na mshery alijitahidi kutuliza presha.
Yule dogo wa azam tepsie ni hatari Sana.
Kumuachia mtaani wao SIMBA ili angalau apate hizo M 25 ili zimsaidie kujenga uwanja .....kuliko kuendela kutembeza bakuli kwa watanzania
Kuna namna nyingi za kujifariji baada ya kufurushwa kwenye kombe lililozungushwa mji mima mwaka jana. Namna mojawapo ni hii, na nyingine ni kujifanya upo bize na AFCON 😂Simba sasa
huyu jamaa ni yanga ila naona ameingia kwa bahati mbaya siku zote anajibu kwa hoja hajawahi kutukanaUjue we ni yanga damu ila una point sometimes?
Ni kweli..nyie c mlichukua pwenti tatu kwao?Hawawezi kuelewa hawa kolo kitimu kile namungo kinashika nafasi huko chini chini kabisa.
Hawawezi kuelewa hawa kolo kitimu kile namungo kinashika nafasi huko chini chini kabisa.
Kabisa mkuu....labda waliamini kuwa kile kikosi kingefanya maajabuMkuu tukienda kwenye uhalisia wa mambo ni kwamba viongozi wa Yanga hawajitambui. awali uongozi wa Yanga waliidharau mashindano na ndio maana wachezaji muhimu pamoja na kocha mkuu wakapewa mapumziko tofauti na ilivyokuwa kwa Simba ambapo waliitumia hii michuano kimalengo zaidi ya kuimarisha kikosi chao zaidi na ndio maana umeona kwanzia mechi ya kwanza Simba na Azam wameweka wachezaji karibia wote waliokuwa wanaanza kikosi cha kwanza.
Hao hao viongozi wanageuka tena kuona kuna umuhimu wa Yanga kufuzu hatua ya nusu fainali hivyo wakakurupuka kuwazoa wakina Bangala ambao waliokuwa wanakula bata tu mtaani unawazoa wafanye mazoezi siku moja tena kwa masaa kadhaa halafu kesho yake wacheze mechi. Aisee mpira hauko hivyo
Ukija upande wa wachezaji ni kwamba ukiangalia nafsini mwao hakuna hata mmoja aliyetamani kutolewa. Na ndio maana unaona akipiga penati kisha akapata anafurahia mno na alipokosa Yasin walinyong'onyea mno. Wachezaji walitamani wafuzu ila wamezidiwa na Azam.
Azam anashika nafasi ya ngapi beashee [emoji1787][emoji1787]Hawawezi kuelewa hawa kolo kitimu kile namungo kinashika nafasi huko chini chini kabisa.
Simba huwa anamuweza Azamu .......but Yanga na Azam always mechi inakuwa ngumu balaaa......Mkuu kwasasa tunaongea kujifariji tu lakini hii kauli yako itakuwa na maana sana endapo Azam atachukua kombe mbele ya Simba. ila kama Simba atatwaa kombe basi mkuu itakuwa ni kama umeitusi na timu yako
Huyo kocha wao ....kawachangamsha kidg...........now Azam wanapiga soka la hatariHivi wachezaji wanapewa likizo na ligi haijaisha kwanini?
Halafu ni bora hawa kina bangala wasingerudi kabisa walipaswa wamalizie hawa wa mwanzo kina makambo tu.
Kituko zaidi ni lile la kumtoa mshery na kumuingiza johora ambaye hajawahi kucheza mechi hata moja.
Huu uongozi ni wa kipopoma kweli na nabi anapewa likizo ligi hata haijaisha kweli?
Tulistahili kufungwa ndani ya 90 mins kilichosaidia ni ubora wa mwamnyeto na wenzie pamoja na mshery alijitahidi kutuliza presha.
Yule dogo wa azam tepsie ni hatari Sana.